Weka statistics hapa sio porojo.. Mlikamatika haswa mpaka mkaomba refa amalize mpira mapema.sema dogo Arthur akikutana na kaka zake wakina luka maduara na ndugu yake toni anawafanya wanakuwa wanyonge pale sebuleni anakuwa boss wao
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Utakuwa ujatazama mpira underdog weweWeka statistics hapa sio porojo.. Mlikamatika haswa mpaka mkaomba refa amalize mpira mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa undercatUtakuwa ujatazama mpira underdog wewe
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Kwa hivyo unaamini kabisa wall la Madrid halitakua breached ktk return game? Anyway dream onJipeni matumaini na mlivyodesperate ya kununua wazee tunawasubiri kwa hamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann unaogopa?HII match ya leo-mbona kuna kutishana sana-mpaka tunaogopa kuangalia
Kwann unaogopa?hata me c elew leo.anyway ngoja tusubir end of 90 mnts itakuaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa ujatazama mpira underdog wewe 🤣🤣🤣 tena ni underpuppy
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Itakuwa 8 mkuuLeo ni Leo San Memes hatutakubali Los Blancos watukaribie hata kidogo tutawaacha gap la point 11 kama kawaida
Atletico Bilbao Leo analala goli 3
nyie mnaangalia mpira mwingine nini? Inabidi Dembele aingie hawa wanaweza kutufuma
Si unaona soccer halijakaa sawa
Dembele naona hana match fitnessnyie mnaangalia mpira mwingine nini? Inabidi Dembele aingie hawa wanaweza kutufuma
Narudia tena.. Hamna timu nyie ya kutufunga pale Santiago. Leo mshukuruni sana Willian kwa uzembe wake.Ter Stergen got us out of jail
Point sita hizo. Someni kwa umakini.Ukiachana na Messi, McAndre Ter stegen anafuatia kwa kuibeba team!
Bila saves za huyu jamaa, sidhani kama tungefika hapa tulipo!
- KANA -