Emmanuel Alden
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 388
- 486
Incompetent commentators what a shame.Watangazaji wa Azam vilaza sana wamesifia ile pasi ya busquets mpaka wameharibu eti wakasema ni kijana aliyeletwa kuzipa pendo la xavi dah! Ina maana hawajui kuwa jamaa ni legend?
Hao watangazaji ni kama padri mcharo
Tena hako ka 7-1 ni kanyumbani bila hivyo wangekalia miti kama kawaida yao.Safi sana barca ushindi mzuri kabisa ugenini, sasa mmeweka mambo sawa mana 7-1 ni habari ila 0-5 ni habari ya kusisimua...
Mimi Gomez nikishamuona ndani hasa tukiwa ugenini na kulala naenda kulala mpira wa oresha utaniua mimi.Mkuuu
Hebu tutafute jina la kumuita gomez coz jamaa nkiona jina lake nashikwa ari ya kumtoa ktk list ya wachezaji wa barca
Sure... mana kuna timu ukizifunga unaona ata aibu kushangilia ila wenzetu leo wameshangilia mpaka noma. Sasa hyo n dalili mbaya sana
Hii game ni suluhu tu.
Labda mkaze Vijambio kupenya katikati pale. Otherwise sioni dalili yoyote kufungana.
Haya mzee kijambio
Vp suluhu umeiona kijambio
Blaugrana wapi wewe....
Kama nyie mna vijambio kweli basi wafungeni Real Betis hata magoli matano leo, kama UEFA DEFENDING CHAMPIONS tulivofanya.
Hamna huo ubavu.
Nasubiri Mzee Eden Hazard aje awanyoe Vinumbu kubabake.
Safi sana barca ushindi mzuri kabisa ugenini, sasa mmeweka mambo sawa mana 7-1 ni habari ila 0-5 ni habari ya kusisimua...
Watangazaji wa Azam vilaza sana wamesifia ile pasi ya busquets mpaka wameharibu eti wakasema ni kijana aliyeletwa kuzipa pendo la xavi dah! Ina maana hawajui kuwa jamaa ni legend?
Hao watangazaji ni kama padri mcharo
Watangazaj wa Azam mm huwa nawaelewa sana hasa ikifika game za barca hua wanasifu mpaka sifa zinamwagikiaWatangazaji wa Azam vilaza sana wamesifia ile pasi ya busquets mpaka wameharibu eti wakasema ni kijana aliyeletwa kuzipa pendo la xavi dah! Ina maana hawajui kuwa jamaa ni legend?
Hao watangazaji ni kama padri mcharo
Neymar siunajua ni mtu wa kupanic na nidhamu yake ni fupi sana sasa sioni tabu akitoka mchezoni mapema tu...Semedo naona siku ya kukutana na Neymar-TV zote duniani zita focus kwa mtu mbili hizi
Yeah hiyo ni salam kwake mviziaji na timu yake. Hapo mzee wa ku-dance na Coutihno bado wanasoma upepo. El-classico ijayo waandike maumivu tu.Ukizingatia wenyewe kwa BETIS walitandikwa goal 1
Sure Jana wamepamba mbaka keroWatangazaj wa Azam mm huwa nawaelewa sana hasa ikifika game za barca hua wanasifu mpaka sifa zinamwagikia
Perfect analysis...Barcelona inatisha sana na hii pace yao ndani ya dakika 30 za mwisho Betis ameloa goli 5
Suarez na Messi mmoja wao ilibidi atoke na hatrick ,mtu kama Messi in reality angekua kama ana element za u selfish hata 05% tu basi nawaambieni kila match angekua anapiga hatrick
Perfect game ,Velverde usirudie tena kumuingiza Gomez na kumuacha Paulinho nje amecheza dk 30 tumeona impact yake
Halafa Busquets utalogwa unachonga pass za kupenyeza kama ruler?
Raha sana #Forca_Barca
S.Roberto ulichokifanya leo midfielder nadhani velverde anaenda kulaumu technical eperts wake you are naturally midfielder
Semedo chaaa... speed nimeona zimesoma ulifikisha 33km /hr wakati unamkimbiza yule defender hiyo namba (RB) wewe ndio ya kwako ,una stamina ,balance ,speed,dribbling tactics etc am sure lord Penaldo asingepiga shoot hata moja ukimkaba
Uwezo wa Jordi Alba kuna muda hua nafikiri ni no 11 kumbe sio?you are the master wa kutia cross kwa speed na muda muafaka
Pique thanks kwa kulet balance ya defence
Tchao...
Uspyme na kitu "untouchable"....Alikua na uwezo wa kupiga hatrick akampasia rafiki yake kipenzi
Halafu chance alipopata suarez akaforce iende kwa Messi wakati yeye ndo alikaa nafasi ya kufunga nzuri
Aisee kawanya nyasa mabeki wa Betis mpaka mafans wao wakamshangilia kama siyo kumshangaa. Mpira unampenda sana Messi10 kuliko yeye anavyoupenda...!!!Messi ni balaa jamani kama kawaida yake mzee wa kukusanya kijiji. Alafu wanakuja watu wamcompare na Gaucho mara oh cr7 😛😛😛 king hafananishwi na mchezaji yeyote hapa ulimwenguni.
Salute kwako Mfalme!
Namalizia "the Alien"...Messi is:-
Unique
Priceless
Mesmerizing
Incredible
Brilliant
Memorable
Sensational
Fascinating
Humble
Magnificent
Perfect
Spectactular
Genius
Exceptional
Phenomenal
Wonderful
Loyal
Unforgettable
Lushvishious
Magical
Deadly
Inhuman
Enormous
Superb
Hero
Inspirational
Passionate
Consistent