FBI ndani ya Tanzania, kazi ipo

FBI ndani ya Tanzania, kazi ipo

Mwisho wa siku watatuambia hao ni magaidi na watapendekeza walete majeshi yao ili kuwasaka ili wachukue gesi yetu na mafuta
akili kumukichwa!!!!!!!!!
Watasema tena hawa magaidi wamejificha kwenye machimbo ya madini na gesi
 
Jamani kwani kuna kuli[pia apa nilizani ni ile ya kwa hisani ya watu wa marekani!
Ila angalau kutakuwa na seriousness katika hili.
Kama tutawalipa basi ilo fungu la kuwalipa litoke kwenye bajeti ya TISS au kama haitoshi wawapeleke likizo ya bila malipo kufidia.
Maana was TISS to have been doing their work effectively tusingefika uku!
 
Hii ndio matunda ya miaka 51 ya uhuru chini ya TANU/CCM. Aibu tupu kushindwa kuwashughulikia common criminals. Vyombo nyetu nimejikita mno na mambo ya siasa za CCM sasa vinaumbuka na kuonekana kuwa they are professional.
 
Ilikuaje waliomuua kamanda Barlow kwenye uzinzi wapatikane halafu walomuua padri akienda ibadani ishindikane mpk walete FBI km sio utahira wa serikali n nini....au ni mchezo mnatuchezea magamba nyie
 
Kazi yao kulinda magamba tu mfano hilo li AHMED Msangi sijui....na Ramadhan igondu sijui ighou..atajuA mwenyew huo usalama wanaolinda n wa nani..a.s..s..ho..l.e.s haawa
 
Meeen, kamati ya mapokez yao isisahau kuwapeleka kula urojo pale kati Zenji.
 
mi nitafurahi kama FBI wataweka kambi ya kudumu hapo Zanzibar ku-monitor uamsho wote na babu zao Al-Shaabab ukanda huu wa Afrika Mashariki
 
Wakuu mmenena vema kuwa kuja kwa FBI au Scotland yard kutabaini kunaweza kusaidia kubaini ukweli lakini matokeo hayo yataidia tu iwapo ipo DHAMIRA ya kweli ya kuwatafuta na kuwaadhibu wahusika.
 
FBI anakuja kufanya nini hapa? mbona zilipozama MV Skarget na MV Spice kule Zanzibar ikauwa maelfu ya watu hawakuja kuchunguza mauwaji na hata bunge la Tanzania lilinyimwa fursa ya kujadili yale mauwaji au serikali ndio inaonyesha dhahiri nnadhir kuliunga mkono Kanisa??
 
FBI anakuja kufanya nini hapa? mbona zilipozama MV Skarget na MV Spice kule Zanzibar ikauwa maelfu ya watu hawakuja kuchunguza mauwaji na hata bunge la Tanzania lilinyimwa fursa ya kujadili yale mauwaji au serikali ndio inaonyesha dhahiri nnadhir kuliunga mkono Kanisa??

TATIZO HUWA HAMSHIRIKISHI UBONGO KABLA YA KUONGEA!!! Hivi hawakuja waokoaji kutoka SOUTH AFRIKA NA MISRI?

FBI WAACHENI WAFANYE KAZI YAO WASIWASI WA NINI! Kama umo utakamatwa tu. Na mzizi wa fitna utoke
 
Kipigo na mateso aliopata Ulimboka ni kwa nini FBI ama scotland Yard hazikushirikishwa?
 
Wakipatikana waondoke na hao FBI wapelekwe Gwantanamo watuachie tanzania yetu na amani yetu.
 
TATIZO HUWA HAMSHIRIKISHI UBONGO KABLA YA KUONGEA!!! Hivi hawakuja waokoaji kutoka SOUTH AFRIKA NA MISRI?

FBI WAACHENI WAFANYE KAZI YAO WASIWASI WA NINI! Kama umo utakamatwa tu. Na mzizi wa fitna utoke

Na tena cha zaidi mv.Spice na ile ingne hayakuwa mauaji,ni ajali.asa kama huyo jamaa etu hawez tofautisha attack ya risasi na kuzama kwa meli basi akarudie pepa tu ka na ye kafeli.
 
Back
Top Bottom