Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Asingekimbia angeuwawa kama Hanga
Ungemjua bila kupewa Nobel Prize?Ndugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof.Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo,upendo huanzia nyumbani.Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana..toa tamko la kuomba radhi.
Kwanini usiseme Dr Hussein Mwinyi ndio aombe radhi kwa niaba ya serikali?
Au unataka watoto Wa Magufuli tuwasakame waombe radhi kwa niaba ya baba yao kwa watu walioumizwa naye?
Hujaona hoja hapo?Basi wewe ni mbupu!Jikite kwenye hoja
Labda Mwanaye Mzee angefaa zaidi siyo mjukuuNdugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof.Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo,upendo huanzia nyumbani.Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana..toa tamko la kuomba radhi.
Kwani lazima?😝😝😝😝Ni mwanaharakati wa haki za binadamu sio vibaya kusahihisha yaliyopita.Tujisahihishe
Let bygones be bygones. Serekali iandae mandamano kupongeza shujaa Gurnah.Kwanini usiseme Dr Hussein Mwinyi ndio aombe radhi kwa niaba ya serikali?
Au unataka watoto Wa Magufuli tuwasakame waombe radhi kwa niaba ya baba yao kwa watu walioumizwa naye?
Hakumzidi magufuliKarume alikuwa dikteta Tena muuaji mkubwa
Ulikuwa hujazaliwa, unafikiri kwanini aliuawaHakumzidi magufuli
Siku hizi JF kuna "vilaza" wengi sanaNdugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana. Toa tamko la kuomba radhi.
Enzi hizo hakuwapo naye anasikia tu kwenye simulizi.Ndugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana. Toa tamko la kuomba radhi.
Mtoto haukumiwi kwa kosa Baba ,na Baba pia la mtoto. Huwezi kufanyia kosa wewe radhi nikaomba Mimi ,radhi haina niaba isipokuwa uwe mmoja wa watenda kosa uombe radhi kwa kuwakilisha na wenzako piaNdugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana. Toa tamko la kuomba radhi.
Ni kitu gani kiliwafanya wakimbie 2001?Huyo jamaa Kama asingekimbia na kwenda huko UK asingekuwa Prof na asingeshinda hiyo tuzo.
Yeye ndio anatakiwa ashukuru, kuna jamaa nawafahamu walikimbia Zanzibar 2001 wakahamia UK wanashukuru Sana kwani maisha yao yapo safi sana wangekuwa Zanzibar wangekuwa wala urojo tu
Hawezi kukwepa kwakuwa ni mnufaika wa huo udhalimu.Mtoto haukumiwi kwa kosa Baba ,na Baba pia la mtoto. Huwezi kufanyia kosa wewe radhi nikaomba Mimi ,radhi haina niaba isipokuwa uwe mmoja wa watenda kosa uombe radhi kwa kuwakilisha na wenzako pia