mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,089
- 6,273
Ni kitu gani kiliwafanya wakimbie 2001?
Ni kitu gani kiliwafanya wakimbie 2001?
Waliomfukuza huyu mzee Zanzibar ni CCM na siasa zao za ubaguzi wa rangi.Wanaopaswa kumuomba msamaha huyu mzee ni CCM na wala siyo Fatuma Karume.
View attachment 1970026View attachment 1970030
Waliomfukuza huyu mzee Zanzibar ni CCM na siasa zao za ubaguzi wa rangi.Wanaopaswa kumuomba msamaha huyu mzee ni CCM na wala siyo Fatuma Karume.
View attachment 1970026View attachment 1970030
Siku hizi JF kuna "vilaza" wengi sana
Eti mjukuu aombe radhi kwa makosa ya Babu yake
Mtoto haukumiwi kwa kosa Baba ,na Baba pia la mtoto. Huwezi kufanyia kosa wewe radhi nikaomba Mimi ,radhi haina niaba isipokuwa uwe mmoja wa watenda kosa uombe radhi kwa kuwakilisha na wenzako pia
Baba zake Fatma bado wapo hivyo mjukuu hawezi kufanya jambo la kifamilia wakati mababa wapo, hivyo licha ya kuwa hoja yako haina mashiko hata hivyo hilo kiafrika haliwezekani.Ndugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana. Toa tamko la kuomba radhi.
Baba zake Fatma bado wapo hivyo mjukuu hawezi kufanya jambo la kifamilia wakati mababa wapo, hivyo licha ya kuwa hoja yako haina mashiko hata hivyo hilo kiafrika haliwezekani.
Yaani Fatuma Karume aombe radhi kwa mambo aliyofanya babu yake akiwa Rais... kwani Fatuma ni Rais?
Wa kuomba radhi hasa ni Tanganyika iliyomweka Karume Rais kwani iliivamia Zanzibar tokea wakati huo na kila uchafuzi unaoitwa uchaguzi huletewa askari wa kuja kutumwagia marisasi , kututandika viboko , lengo lenu ni kutulazimisha tuwe watanganyika kwa jina la Tanzania .Ndugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana. Toa tamko la kuomba radhi.
Huyo jamaa Kama asingekimbia na kwenda huko UK asingekuwa Prof na asingeshinda hiyo tuzo.
Yeye ndio anatakiwa ashukuru, kuna jamaa nawafahamu walikimbia Zanzibar 2001 wakahamia UK wanashukuru Sana kwani maisha yao yapo safi sana wangekuwa Zanzibar wangekuwa wala urojo tu
Basi yawapasa CCM watambae kabisa kuomba msamaha,pia Dr Mwinyi naye afanye hivyo hivyo maana naye ni mnufaika Wa huo udhalimu!Hawezi kukwepa kwakuwa ni mnufaika wa huo udhalimu.
..Prof.Abdulrazak anatakiwa kuombwa radhi ya Serikali ya Mapinduzi Znz / SMZ.
..unyama uliomfanya Abdulrazak na wengine waikimbie Znz ulifanywa na vyombo vya DOLA vya serikali ya mapinduzi.
Mwinyi , kijana wa Mkuranga huyu yumo kazini kuendeleza uvamizi , hana jipyaBasi yawapasa CCM watambae kabisa kuomba msamaha,pia Dr Mwinyi naye afanye hivyo hivyo maana naye ni mnufaika Wa huo udhalimu!
Waliomfukuza huyu mzee Zanzibar ni CCM_Zanzibar na siasa zao za ubaguzi wa rangi.Wanaopaswa kumuomba msamaha huyu mzee ni CCM na wala siyo Fatuma Karume.
View attachment 1970026View attachment 1970030
Dr. Mwinyi is one of them. Hajawahi kuwakana. Fatuma Karume ni mnufaika wa udhalimu ambaye leo anataka kujifanya mtu mwema.Basi yawapasa CCM watambae kabisa kuomba msamaha,pia Dr Mwinyi naye afanye hivyo hivyo maana naye ni mnufaika Wa huo udhalimu!
Hujajibu swali langu.... aombe msamaha kwa makosa aliyofanya Rais kwani yeye ni Rais?Ili apate uhalali wa kuwa mwanaharakati wa haki za binadamu
Ni MTU mwema ndiyo kwasababu hakushiriki udhalimu huo!Ni upuuzi kumuhukumu kwa makosa ya Babu yake na viongozi wa CCM!Dr. Mwinyi is one of them. Hajawahi kuwakana. Fatuma Karume ni mnufaika wa udhalimu ambaye leo anataka kujifanya mtu mwema.
Mkuu Wakudadavuwa, usimbebeshe mtoto wa watu mizigo isiyo ya kwake, hakuna mtu yoyote aliyefukuzwa Zanzibar, kila aliyeikimbia Zanzibar baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, aliondoka kwa hiyari yake, hivyo wala hakuna hitaji lolote, la kuombwa msamaha kwa mkimbizi yoyote.Ndugu zangu,
Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume.
Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili umekuwa kimya sana. Toa tamko la kuomba radhi.