Fatma Karume amlipua Gwajima kwa kutaka Misikiti kugeuzwa Sunday Schools

Fatma Karume amlipua Gwajima kwa kutaka Misikiti kugeuzwa Sunday Schools

ustadhijuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
3,133
Reaction score
2,117
Katika chapisho lenye maneno makali kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), mwanasheria na mwanaharakati mashuhuri Fatma Karume amemshambulia vikali Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kwa nia ya kutaka “misikiti igeuzwe kuwa Sunday Schools.”

Kauli hiyo imeibua mjadala mzito kuhusu uhuru wa ibada, na chuki za kidini nchini zinazoenezwa na kiongozi huyo wa kanisa.

Fatma amelaumu unafiki wa baadhi ya watu wanaomuita yeye mdini kwa kuhoji matamshi ya Gwajima, ilhali Gwajima ambaye amewahi kupendekeza kufungwa kwa misikiti na kuigeuza kuwa Sunday Schools hapati lawama, bali anapewa sifa za "shujaa" kwa kukemea tukio moja tu la utekaji.

“Yeye anayetaka kufunga misikiti si mdini, bali ni hero wenu kwa kuwa alidiriki kukemea utekaji mara moja tu. Mie niliyekemea consistently, mie ndiye mdini? Shukran ya punda mateke!” ameandika Fatma kwa hisia kali.

IMG-20250602-WA0288.jpg
 
Katika chapisho lenye maneno makali kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), mwanasheria na mwanaharakati mashuhuri Fatma Karume amemshambulia vikali Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kwa kile alichokiita nia ya kutaka “misikiti iwe kama Sunday Schools.”

Kauli hiyo imeibua mjadala mzito kuhusu uhuru wa ibada, na chuki za kidini nchini zinazoenezwa na kiongozi huyo wa kanisa.

Fatma amelaumu unafiki wa baadhi ya watu wanaomuita yeye mdini kwa kuhoji matamshi ya Gwajima, ilhali Gwajima ambaye amewahi kupendekeza kufungwa kwa misikiti na kuigeuza kuwa Sunday Schools hapati lawama, bali anapewa sifa za "shujaa" kwa kukemea tukio moja tu la utekaji.

“Yeye anayetaka kufunga misikiti si mdini, bali ni hero wenu kwa kuwa alidiriki kukemea utekaji mara moja tu. Mie niliyekemea consistently, mie ndiye mdini? Shukran ya punda mateke!” ameandika Fatma kwa hisia kali.
Itakuwa ameungua vibaya sana, au amesalimika?
 
Bampa to bampa, Waislamu hakuna kurudi nyuma. Akiendelea kutukashifu tuvamie kikanisa chake tukamshughulikie kwa maneno makali live, tukamwambie akome.
Tutawachokonoa vinyesi vyenu .... Endeleeni kujidanganya
 
Bampa to bampa, Waislamu hakuna kurudi nyuma. Akiendelea kutukashifu tuvamie kikanisa chake tukamshughulikie kwa maneno makali live, tukamwambie akome.
kabla hamjafika hapo mtapigwa upofu na kupoteana na njia yenu itakuwa na utelezi. Acha kushadidia propaganda za wanasiasa wanaotumia dini kwa maslahi ya kisiasa, kenge we
 
Katika chapisho lenye maneno makali kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), mwanasheria na mwanaharakati mashuhuri Fatma Karume amemshambulia vikali Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kwa nia ya kutaka “misikiti igeuzwe kuwa Sunday Schools.”

Kauli hiyo imeibua mjadala mzito kuhusu uhuru wa ibada, na chuki za kidini nchini zinazoenezwa na kiongozi huyo wa kanisa.

Fatma amelaumu unafiki wa baadhi ya watu wanaomuita yeye mdini kwa kuhoji matamshi ya Gwajima, ilhali Gwajima ambaye amewahi kupendekeza kufungwa kwa misikiti na kuigeuza kuwa Sunday Schools hapati lawama, bali anapewa sifa za "shujaa" kwa kukemea tukio moja tu la utekaji.

“Yeye anayetaka kufunga misikiti si mdini, bali ni hero wenu kwa kuwa alidiriki kukemea utekaji mara moja tu. Mie niliyekemea consistently, mie ndiye mdini? Shukran ya punda mateke!” ameandika Fatma kwa hisia kali.
Ukiona wasomi wanaanza kubishana mambo ya dini, ujue ni upuuzi mwingine huo
 
Itakuwa ameungua vibaya sana, au amesalimika?
"Hata akisalimika, nakuhakikishia hatotamanika. Vita dhidi ya Waislamu haishii kwenye nyama kwa nyama, bali hadi rohoni. Wiki hii yote hatopata choo; tumekaa itikafu kushughulikia mja laana yule, na in shaa Allah matokeo hayatajificha.

Huwezi kudharau dini yetu, tukakuacha hivihivi.
 
"Hata akisalimika, nakuhakikishia hatotamanika. Vita dhidi ya Waislamu haishii kwenye nyama kwa nyama, bali hadi rohoni. Wiki hii yote hatopata choo; tumekaa itikafu kushughulikia mja laana yule, na in shaa Allah matokeo hayatajificha.

Huwezi kudharau dini yetu, tukakuacha hivihivi.
Kyuuuuuma wewe
 
Miongoni mwa mabalaa mazito kwa waja, moja wapo litakukuta katika wiki hii kama funzo na somo kwa hii statement yako.

Na twibba ya hilo tatizo au balaa litakuwa ni wewe kuja kuwaomba waislamu msamaha hapa jukwaani.
Huo ujinga wako peleka huko msikitini,,akili yako imeoza wewe
 
Miongoni mwa mabalaa mazito kwa waja, moja wapo litakukuta katika wiki hii kama funzo na somo kwa hii statement yako.

Na twibba ya hilo tatizo au balaa litakuwa ni wewe kuja kuwaomba waislamu msamaha hapa jukwaani.
Una tatizo la kujitolea 😂😂.
 
"Hata akisalimika, nakuhakikishia hatotamanika. Vita dhidi ya Waislamu haishii kwenye nyama kwa nyama, bali hadi rohoni. Wiki hii yote hatopata choo; tumekaa itikafu kushughulikia mja laana yule, na in shaa Allah matokeo hayatajificha.

Huwezi kudharau dini yetu, tukakuacha hivihivi.
Peleka ujinga huko
Vaa bomu ujilipue sasa
 
Back
Top Bottom