Fatma Ferej: Ni Faraja Kwetu Serikali Kupitia ATCL Kwenda Kuwachukua Watanzania Wenzetu

Wapiiii kila ndege Alipiga panga 20%. Mbona akutuma msaada kwa watanzania waliotimuliwa msumbiji hapo jirani tu akabaki kuwatukana. Na cha ajabu msumbiji ilipopigwa na kimbunga akatafuta sifa za kijinga kumtuma kabudi kuwapa msaada haohao misumbiji iliyowatimua watanzania wenzake.

Pongez kwa mama kwa kuwasaidia watanzania wenzetu Ukraine.
una uhakika wa hayo ya msumbiji?
 
P

Jambo kama hulijui kaa kimya ebu uliza wenyej mikoa ya mpakani na msumbiji ni malori mangap ya jeshi yalikwenda kubeba watanzania toka msumbiji kuwarudisha nyumban uliza watu wa ruvuma na mtwara
Hamnaaaaa banaaaaa. Shut up!
 
Si mlipinga Magufuli aliponunua ndege?
Hakuna aliyepinga manunuzi ya ndege,, isipokuwa, mjadala ulikuwa kwenye utaratibu gani wa manunuzi ya ndege hizo!! Rejea majadiliano ya kibunge!

Tatizo la watanzania sisi mtu akitoa wazo kwa maon yake anaonekana anapinga kwa sababu tu hayuko upande wa chama tawala!

NDEGE HOYE
 
Hakuna aliyepinga manunuzi ya ndege,, isipokuwa, mjadala ulikuwa kwenye utaratibu gani wa manunuzi ya ndege hizo!! Rejea majadiliano ya kibunge!

Tatizo la watanzania sisi mtu akitoa wazo kwa maon yake anaonekana anapinga kwa sababu tu hayuko upande wa chama tawala!

NDEGE HOYE
Mwongo Zitto alipinga
Tarehe 24 February 2019 kwenye akaunti.yake ya Twitter aliandika hivi

Mtu ananunua ndege badala ya vifaa vya zahanati, hii ni akili au matope." "Mtu ananunua ndege badala ya vifaa vya zahanati, hii ni akili au matope." "Mtu ananunua ndege badala ya vifaa vya zahanati, hii ni akili au matope."
 
Wazazi watakoma nwaka huu,ile taasisi ya Global imewataka kulipia Usd 1300 kwa kila mwanafunzi ili warejeshwe home,hii imekaajee wajameni..?
Si tunao mfuko wa maafa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa faraja hatua ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwanusuru Watanzania walioko nchini Ukraine nchi ambayo iko vitani na Urusi.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema Serikali inachukua hatua za haraka kunusuru maisha ya Watanzania wapatao 300 pamoja na wanafunzi waliopo Ukraine.

Inakumbukwa kwamba likuwa ni ACT WAZALENDO iliyoibua hadharani haja na umuhimu wa Serikali kuchukua uongozi katika suala hilo la kuwachukua watanzania waliopo nchini Ukraine kwa kupitia nchi jirani.

Taarifa ya Naibu Msemaji Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ndugu Dahlia Majid iliyotolewa tarehe 25,Februari/ 2022 iliitaka Serikali ivae wajibu wake wa kulinda usalama wa raia wake kwa kuwaokoa Watanzania hao kwa sababu wajibu mkuu na wa kwanza kwa Serikali yoyote ni kulinda raia wake na mali zao popote walipo.

Baada ya Juhudi kubwa za Chama cha ACT Wazalendo kupitia Msemaji Wa Kisekta wa Mambo ya Nje, kuitaka Serikali ichukue hatua za makusudi kuwasaidia Watanzania Walioko Ukraine, Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje imetoa taarifa na Muongozo wa namna unavyo shughulikia jambo Hilo!

Kuna taarifa kwamba kutakuwa na ndege ya ATCL itakayo kwenda kuwachukua watanzania wenzetu nchi ya Poland ,Romania na nchi zingine zinazopakana na Ukraine ambazo watanzania wapo Siku ya Tarehe 03.03. 2022.Na kuna mawasiliano yametolewa na Shirika la Ndege la Tanzania kupitia namba 0800110045 kwa mawasiliano zaidi ,hii kwetu sisi ni hatua njema.

Ila kuna changamoto ambayo ipo na tunaitaka Serikali kupitia Wizara ya mambo ya nje na Ubalozi wa Tanzania wa Poland uliopo Berlin kuchukua hatua za haraka ili kutatua changamoto hii.

Nchi ya Poland sasa inapokea watu wengi sana kutoka Ukraine,uwezo wao wa kuhudumia wote ni mgumu sana ingawa wanajitahidi sana .Na kwa kurahisisha hili ndio maana yeyoye anayeingia Poland anaulizwa mpakani kama ana ndugu wa kumpokea na atakayemsaidia na kumpa hifadhi na mahitaji.

Jambo la kuumiza watanzania wenzetu wanaoingia Poland na Romania mpakani hakuna utaratibu wowote uliowekwa na serikali yetu ya Tanzania ili kuwapokea hawa ndugu zetu aidha kuwapakia katika usafiri na kuwapa sehemu ya hifadhi na mahitaji yote hakuna utaratibu, watanzania wenzetu wanaoingia mpakani wanateseka hakuna utaratibu wowote uliowekwa.

Hivyo basi,tunashauri serikali ya Tanzania kupitia wizara ya mambo ya nje na Ubalozi wa Tanzania Poland uliopo Berlin iweke utaratibu wa haraka wa kuwapokea watanzania wanaoingia Poland na nchi zingine kama Romania ili kuwapa usafiri, hifadhi ya malazi,chakula na mahitaji ya msingi katika kipindi hiki ambacho serikali inajiandaa kwenda kuwachukua.

Lakini pia serikali iwasiliane na nchi za Afrika Mashariki na nchi kadhaa za Afrika ambazo nazo zinapokea watu wao ili pia wawapokee Watanzania popote wawaonapo na kuwapa hifadhi watanzania watakaopokelewa hapo mpakani kabla ya kuchukuliwa na kuletwa Tanzania.

ACT Wazalendo itaendelea kuwa sauti mbadala kwa kuwasema Watanzania katika masuala mbali mbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi

Fatma Fereji

Msemaji wa Kisekta wa Mambo wa Nje.

+255 777 424 390

28/03/2022

View attachment 2134193
Kongole kwa serikali ya mh.Samia 👊

#Siempre JMT🙏
#Siempre SSH🙏
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Magufuli hajanunua ndege. Ndege zimenunuliwa na serikali ya Tanzania. Kilicholalamikiwa ktika zoezi hilo ni ukiukwaji wa taratibu za manunuzi.
Hujui saga lilikuwa Ndege mbovu, hadi zikaitwa panga boy?
 
Hujui saga lilikuwa Ndege mbovu, hadi zikaitwa panga boy?
Hajui Huu upinzani hasa Zitto kabwe alipinga mno hadi kuziita mitumba!!

Hongereni wapemba wenye akili mliojiunga ACT wazalendo upeo wenu mkubwa kuliko wa upinzani walio Tanzania bara ngozi nyeusi akina Zitto Kabwe,Mbowe,Tundu Lisu,Msigwa ,Lema ,wenje no

Nashauri msajili alazimishe kila chama cha siasa kiwe na wapemba waarabu hasa Chadema ili waongeze watu wenye akili chamani sasa hivi hali mbaya kwao

CCM tunao kibao ONA sasa ACT wazalendo kunaanza kuonekana watu wenye akili lakini kama watabaki hawahawa akina Mnyika havitafika mbali

Kibao unakuta kimejaa waswahili watupu wenye upeo mdogo
 
Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa faraja hatua ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwanusuru Watanzania walioko nchini Ukraine nchi ambayo iko vitani na Urusi.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema Serikali inachukua hatua za haraka kunusuru maisha ya Watanzania wapatao 300 pamoja na wanafunzi waliopo Ukraine.

Inakumbukwa kwamba likuwa ni ACT WAZALENDO iliyoibua hadharani haja na umuhimu wa Serikali kuchukua uongozi katika suala hilo la kuwachukua watanzania waliopo nchini Ukraine kwa kupitia nchi jirani.

Taarifa ya Naibu Msemaji Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ndugu Dahlia Majid iliyotolewa tarehe 25,Februari/ 2022 iliitaka Serikali ivae wajibu wake wa kulinda usalama wa raia wake kwa kuwaokoa Watanzania hao kwa sababu wajibu mkuu na wa kwanza kwa Serikali yoyote ni kulinda raia wake na mali zao popote walipo.

Baada ya Juhudi kubwa za Chama cha ACT Wazalendo kupitia Msemaji Wa Kisekta wa Mambo ya Nje, kuitaka Serikali ichukue hatua za makusudi kuwasaidia Watanzania Walioko Ukraine, Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje imetoa taarifa na Muongozo wa namna unavyo shughulikia jambo Hilo!

Kuna taarifa kwamba kutakuwa na ndege ya ATCL itakayo kwenda kuwachukua watanzania wenzetu nchi ya Poland ,Romania na nchi zingine zinazopakana na Ukraine ambazo watanzania wapo Siku ya Tarehe 03.03. 2022.Na kuna mawasiliano yametolewa na Shirika la Ndege la Tanzania kupitia namba 0800110045 kwa mawasiliano zaidi ,hii kwetu sisi ni hatua njema.

Ila kuna changamoto ambayo ipo na tunaitaka Serikali kupitia Wizara ya mambo ya nje na Ubalozi wa Tanzania wa Poland uliopo Berlin kuchukua hatua za haraka ili kutatua changamoto hii.

Nchi ya Poland sasa inapokea watu wengi sana kutoka Ukraine,uwezo wao wa kuhudumia wote ni mgumu sana ingawa wanajitahidi sana .Na kwa kurahisisha hili ndio maana yeyoye anayeingia Poland anaulizwa mpakani kama ana ndugu wa kumpokea na atakayemsaidia na kumpa hifadhi na mahitaji.

Jambo la kuumiza watanzania wenzetu wanaoingia Poland na Romania mpakani hakuna utaratibu wowote uliowekwa na serikali yetu ya Tanzania ili kuwapokea hawa ndugu zetu aidha kuwapakia katika usafiri na kuwapa sehemu ya hifadhi na mahitaji yote hakuna utaratibu, watanzania wenzetu wanaoingia mpakani wanateseka hakuna utaratibu wowote uliowekwa.

Hivyo basi,tunashauri serikali ya Tanzania kupitia wizara ya mambo ya nje na Ubalozi wa Tanzania Poland uliopo Berlin iweke utaratibu wa haraka wa kuwapokea watanzania wanaoingia Poland na nchi zingine kama Romania ili kuwapa usafiri, hifadhi ya malazi,chakula na mahitaji ya msingi katika kipindi hiki ambacho serikali inajiandaa kwenda kuwachukua.

Lakini pia serikali iwasiliane na nchi za Afrika Mashariki na nchi kadhaa za Afrika ambazo nazo zinapokea watu wao ili pia wawapokee Watanzania popote wawaonapo na kuwapa hifadhi watanzania watakaopokelewa hapo mpakani kabla ya kuchukuliwa na kuletwa Tanzania.

ACT Wazalendo itaendelea kuwa sauti mbadala kwa kuwasema Watanzania katika masuala mbali mbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi

Fatma Fereji

Msemaji wa Kisekta wa Mambo wa Nje.

+255 777 424 390

28/03/2022

View attachment 2134193
Kwani serikali ya Tanzania ndiyo iliyoleta vita, watajua wenyewe na livita lao.
 
Hajui Huu upinzani hasa Zitto kabwe alipinga mno hadi kuziita mitumba!!

Hongereni wapemba wenye akili mliojiunga ACT wazalendo upeo wenu mkubwa kuliko wa upinzani walio Tanzania bara ngozi nyeusi akina Zitto Kabwe,Mbowe,Tundu Lisu,Msigwa ,Lema ,wenje no

Nashauri msajili alazimishe kila chama cha siasa kiwe na wapemba waarabu hasa Chadema ili waongeze watu wenye akili chamani sasa hivi hali mbaya kwao

CCM tunao kibao ONA sasa ACT wazalendo kunaanza kuonekana watu wenye akili lakini kama watabaki hawahawa akina Mnyika havitafika mbali

Kibao unakuta kimejaa waswahili watupu wenye upeo mdogo
Akili kubwa huona
 
Back
Top Bottom