Fastjet ya Mwanza-Dar ime-abort take off!

Uwanja wa ndege Mwanza kuna tatizo la (ndege hai) wengi maana hata ile ndege ya jeshi ilipata ajari kisa ndege hai kaingia kwenye injini ya ndege

Asa kwann hao ndege wasidhibitiwe ikiwezekana hata kuwa restisha in peace ili kudhibiti roho za watu
 
Unatokea Mwanza,yaani tayari upo Dar? Au bado upo Mwanza ndege bado inafanyiwa recheck?.Rekebisha maelezo yako Mleta mada.
 

Ungemalizia tu kwa kusema leo umepanda ndege
 
Da! hakuna usafiri na uogopa kama ndege, ktk maisha yangu ndege nimepanda mara 2 tena kwa matatizotu sivinginevyo, pole sana

Mkuu ajali za ndege zinatokea mara ngapi Tanzania ukilinganisha na ajali za magari? ndege ni usafiri ulio salama!
 
Acheni woga Usafiri wa ndege ndio usafiri Salama kabisa, compared na njia nyingine yeyote ya usafiri(Tafiti)
 
Mkague na rubani!
Siyo Mjerumani kweli?
 
Mkuu nyegezi hupajui hadi upande hilo li ndege kwenda hapo dar?
Haya hao wanyama mliowagonga wana hali gani?
 
Kakamate happynation ndugu,me tangu twende kugeukia bukoba baada ya mvua na mataa kuzima simpandi tena kasuku huyo
 

Hapo kwenye red, uwe makini na uandishi wako. Natumaini ulikuwa wataka kuandika take-off. Katika wakati ambapo rubani anatakiwa kuchukua maamuzi magumu ni kuahirisha kupaa huku tairi ya mbele imeshanyanyuka, kuahirisha kutua huku umeshakaribia gusa chini na kufanya crash landing.
 
Pole sana Mkuu. Kwa Mungu na tuseme utukufu ni wake kwa kutenda na kuwapa uzima. Na iwe hivyo.
 
Poleni sana na Mumshukuru Mwenyeezi Mungu kwa kutoa sadaka.
 
Duu! Pole ata ivo mngetangazwa dunia nzima kwamba kisanduku kinatafutwa kujua chanzo cha ajaili, au hutaki?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…