FASTJET has taken over FLY 540 shares!

FASTJET has taken over FLY 540 shares!

CHUAKACHARA that's a big lie

Kama kweli umetembea ungepaswa kuwa unajua kwamba usafiri wa anga (kwa abiria) ndio nafuu zaidi huko duniani. Nauli za Ryanair, Easyjet, American Eagle/Express unaweza kuzipata hata hapa kwenye mtandao.

Kuna nauli za Paundi 18 (sh 45,000).. Bristol (UK) to Barcelona (Spain)

Huko duniani ulikotembea ulipaswa kujua kwamba kwenye low cost airlines mizigo yote hulipiwa isipokuwa mzigo wa mkononi.
Huko duniani ulikotembea ulipaswa kujua kwamba ukinunua tiketi mapema utalipa hela kidogo kuliko ukichelewa ingawa wote tutakaa seat zilizopakana.
Huko duniani ulikotembea ulipaswa kujua kwamba meal and refreshments aboard low cost airline unalipia na unalipa haswa.

Sipendi nyie mliotembea dunia hii (kama Mkuu) kutufanya sisi tulobaki huku nyumbani tusojua kila kitu kisa hatujafika huko duniani mnakoendaga...

Kwa taarifa yako fastjet wameanza kuruka kuna wenye kulipa sh 86,000 na wenye sh 135,000 wengine sh 160,000 DARMZADAR kwenye ndege hiyo hiyo..

Kuanzia sasa napiga jaramba kukwea fastjet kitu 24 December,,,,nikishazoea kupanda ndege za hapa ntajaribu huko mnakoendaga nami nikapaone........

Mbona umeleta arguments ambazo zijaziongelea. mimi nasema nauli ya 32,000 Tsh or so. Mbona unasema ninalolisema! Kumbe sio 32,000 DAr-MWANZA. !!!!!!!!! ni 86,000, 135,000, 160,000 one way ticket .

By the way mbona unaongea na hasira as if una fundo na mimi?
 
kweli hongereni sana, lakini mtadumu??? we need to see u growing.
 
loh kweli mungu hamtupi mja wake,na mimi nitapanda ndege?aah naona kama ngekewa oooh ooh ngekewa
 
Congrats bt u need to extend ur flights to other cities like Mbeya

CONGRATULATION:

Wisedom has it, " The customer is a King."
We are looking forward to receive value for money service AT $ 20 PRICE.
 
Precision inabidi wajipange upya.. zile bei zao waziangalie upya
 
Ndugu zangu, naomba number za simu za Fastjet nifanye booking. Tafadhali mwenye nazo nisaidie.
 
Ndugu zangu, naomba number za simu za Fastjet nifanye booking. Tafadhali mwenye nazo nisaidie.

Usafiri June? Nafasi zimejaa hadi June 27, kwa hiyo panga safari yako kuanzia tarehe 28.
 
Has made its first commercial maiden flight today.
We are hopeful!

Mkuu umefanikiwa kuiona kwa "majicho" yako mwenyewe huko mtaani kwako ama bado? Jambo la msingi sana ni kwa wao kuwa na huduma nzuri, manake isije ikawa rahisi ghali.
 
Usafiri June? Nafasi zimejaa hadi June 27, kwa hiyo panga safari yako kuanzia tarehe 28.


hizo za mpaka june 28 ni kwa zile bei za tsh 32,000/= ila zile ticket za tsh 200,000/= zipo na zimejaa teleee...ukiwapigia wanasema zile za 32,000/- ni special offer kwa wateja wa 5 wa kwanza...lakini ndege inabeba watu zaidi ya 100.... HABARI NDO HIYOOOO...TANZANIA NCHI YA AJABU NA HAYA NDIO MAAJABU YAKE.
 
hizo za mpaka june 28 ni kwa zile bei za tsh 32,000/= ila zile ticket za tsh 200,000/= zipo na zimejaa teleee...ukiwapigia wanasema zile za 32,000/- ni special offer kwa wateja wa 5 wa kwanza..

Manina usanii mtupu, na wabongo kwa kupenda slope.
 
kwa bei yao hiyo mpaka wamachinga wataweza kupanda ndege sasa...mbona airport itakua ni kazi kutakavokua kumejaa kila siku..

hata wao wanahaki kukwea pipa atii.lol xmass hawa wenye ku2pandishia bei za mabas haswa tnaoenda kiraracha kuhesabiwa imekula kwao naenda kata tkt yangu mapemaa
 
fast.png


Low cost African airline FastJet has confirmed it will have its first airbase in Tanzania. The airline will commence flying in November with seats going on sale online a few weeks earlier.

Inaelekea kuwa hatutafaidi uwepo wa FastJet hapa Africa kama wenzetu wa Kenya maana CEO wao ametangaza kuwa, FastJet watakuwapo Tanzania kwa muda tu mpaka hapo watakapopata kibali cha kuhamishia ofisi zao Nairobi, Kenya. Hivi ndio waliyoandika kwenye gazeti la Business Daily,




Swali la kujiuliza hapa ni kuwa;


  1. Kwa nini tunashindwa kuwafanya hawa wawekezaji waweke ofisi zao Tanzania na kutoa ajira na kufanya matumizi yao hapa kwetu Tanzania, ambako hakuna ushindani wa hiyo biashara ya ndege kiasi cha wao kuhamia Kenya licha ya kuwa Kenya Airways itawapa ushindani mkubwa?
  2. Je ina maana Tanzania kuna mazingira mabaya zaidi kwa biashara yao kuliko Kenya hata kama hakuna ushindani? Je tufanye nini kuboresha mazingira yetu?
  3. Je serikali yetu imechukua hatua gani kuhakikisha kuwa kitega uchumi hiki kinabaki Tanzania moja kwa moja badala ya kukimbilia Nairobi?
 
Hizo ndege zao zina kiwango? Kwa mwenye picha atujuze at least tuone hivyo vi-ndege vyao visije kuwa ni size ya njiwa tu
Pia isije kuwa ni majeneza yanayopaa,baado nina tashitwiti kidogo,lakini tuombe Mungu tukiamini wakaguzi wa ubora wa ndege wameifanyia ukaguzi naamini watakuwa wametanguliza maslahi ya wananchi na rushwa imewapitia mbali.Pia kama kila kitu sawa basi huo ni ukombozi hasa baada ya Precison na 540 kutunyanyasa sana kwa bei zao,nasubiria safari za kwenda kukaja Mbeya
 
Ujio huu wa Fastjet utatufanya tufumaniane sana na wake zetu ,maake utashtukia mtu kaingia ghafla hata kama uko Litumbanjosi
 
Mbona umeleta arguments ambazo zijaziongelea. mimi nasema nauli ya 32,000 Tsh or so. Mbona unasema ninalolisema! Kumbe sio 32,000 DAr-MWANZA. !!!!!!!!! ni 86,000, 135,000, 160,000 one way ticket .

By the way mbona unaongea na hasira as if una fundo na mimi?[/QUOTE]

CHUACHARA habari za majukumu kwanza! Pili naomba nikuelekeze kama ninavyofaham juu ya hili jambo.

Nadhani ili kufaham ukweli wa hili jambo labda ungebidi kuingia kwenye website ya hawa jamaa halafu fanya kama unataka safari, hii itakusaidia kujua hicho wanachokizungumza watu wengine. Mimi nilijaribu tu ili kuhakikisha na nilichoona ni kwamba kama hauna mzigo kabisa, nauli ONE WAY ni 32,000/= na kama unamzigo utatakiwa kulipa 10000/= ya ziada. Ina maana kwa TWO WAYS kama hauna mzigo ni 64,000/= na kama una mizigo ni 84,000/=. Kumbuka hii ni kwa daraja la wabana bajet ila kwa madaraja mengine nauli itaweza kuwa kubwa zaidi ya hapo. Nadhani utakuwa umenielewa!
Kuwa na siku njema ndugu!
 
Duh bongo, ndege 32,000 kuna sanaa hapa mbona taxi yenyewe toka sinza mpaka airport ni 35000.
 
Back
Top Bottom