Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 665
First maiden? How many maiden's can you have?first commercial maiden
First maiden? How many maiden's can you have?first commercial maiden
Just google it! easy like that!
Pamoja na kuwa unaandika kwa kejeli, nakwambia sio kubambikiwa, nauli kama hizo za usafiri wa ndege duniani hazipo, Kwa taarifa yako, Mimi nimetembea dunia hii sana sijawahi kukuta domestic air fare, leave alone international, za chini za usafiri wa ndege kama hizo. Nadhani kuna janja fulani tu ambayo itajulikana baadaye. If this is to be the fare, mabasi ya mwanza yatakufa kwa trip mbili wanazofanye per day. Bahati mbaya hatujuani ningelikutafuta nikakukumbusha!
Naunga mkono hoja, manyanyaso yalizidi kiwango.Pia isije kuwa ni majeneza yanayopaa,baado nina tashitwiti kidogo,lakini tuombe Mungu tukiamini wakaguzi wa ubora wa ndege wameifanyia ukaguzi naamini watakuwa wametanguliza maslahi ya wananchi na rushwa imewapitia mbali.Pia kama kila kitu sawa basi huo ni ukombozi hasa baada ya Precison na 540 kutunyanyasa sana kwa bei zao,nasubiria safari za kwenda kukaja Mbeya
nchi gani mkuu umezunguka?
unafahau bei za ryanair?
the cheapest in Europe compared to SAS, Norwegian.no, british airways nk
bei zao ni za kutupwa ziko chini sana kwa Europe
acha kudanganya umma.
![]()
Cheap Flights - Book cheap flights to Europe with Ryanair
kwa walio Europe wanajua how cheap is it.
Hii ndio kiu tunaita competition in airways industry
taona hawa jamaa wa fastjet watakavoliteka soko la ndani.
Precision nao watashusha sana bei ili kuendana na ushindani
Mind angalia ukubwa nchi za ulaya, ni kama mashamba ya wakulima wakubwa. Hivyo kwa nauli za chini inawezekana sana, sio kwa miji ya Dar -Mwanza. For example, London to Birmingham ni km 170- while mwanza to dar is around 850 km. Sasa hiyo ryanair sinaweza kuwa cheap. Ninachosema ni kuwa distance ya mwanza to dar for 20 USD or 32,000 Ths ni ngumu ku-operate economicaly and be sustainable
your very wrong man
nani kasema ulaya nchi zake ni ndogo kama mashamba ya wakulima?
nakupa mfano mdogo sana, Norway kutoka oslo kwenda mji wa Trodheim kwa ndege ni dk 50,kwenda hadi mji wa Tromso ni saa moja dk 40 je miji mingine? ni umbali sawa na kutoka arusha hadi Dar, kwa buss ni 8hrs,
sasa ww umetembea wapi hata ukubwa wa nchi hujui?
your very wrong man
nani kasema ulaya nchi zake ni ndogo kama mashamba ya wakulima?
nakupa mfano mdogo sana, Norway kutoka oslo kwenda mji wa Trodheim kwa ndege ni dk 50,kwenda hadi mji wa Tromso ni saa moja dk 40 je miji mingine? ni umbali sawa na kutoka arusha hadi Dar, kwa buss ni 8hrs,
sasa ww umetembea wapi hata ukubwa wa nchi hujui?
kwa bei yao hiyo mpaka wamachinga wataweza kupanda ndege sasa...mbona airport itakua ni kazi kutakavokua kumejaa kila siku..
Nani ameomba CV zenu za jinsi Mlivyotembea Duniani?
mwisho mtoane roho kwa jambo ambalo hata halina maana sana, mwabishana mwenye FastJet anakula Bata!
wabongo banha!!...teeeeeeeeeeeeeeeeeh!
Mbona umeleta arguments ambazo zijaziongelea. mimi nasema nauli ya 32,000 Tsh or so. Mbona unasema ninalolisema! Kumbe sio 32,000 DAr-MWANZA. !!!!!!!!! ni 86,000, 135,000, 160,000 one way ticket .
By the way mbona unaongea na hasira as if una fundo na mimi?
mkuu fuatilia mada kwa undani
kama umekereka jitahidi nawe usafiri hapa ni kupeana challenge
wabongo tumezidi wivu wa kijinga ndio maana tunalaumu umaskini au kuibiwa kazi zetu.
mkuu fuatilia mada kwa undani
kama umekereka jitahidi nawe usafiri hapa ni kupeana challenge
wabongo tumezidi wivu wa kijinga ndio maana tunalaumu umaskini au kuibiwa kazi zetu.