CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Kwenye red uko sahihi - maana distance is not the thing kinacho-determine price. Gharama za kurusha ndege 800km in Europe haziwezi kulingana na za Dar. Why? bei ya mafuta ni tofauti, mishahara ni tofauti etc?
TIP: Kwenye biashara unaweza kutumia zaidi volume ku-generate profit au ukaamua kupandisha bei. Na kama umezunguka duniani utakuwa unajua retails business zinategemea zaidi kwenye volume mfano Walmart.
Naona kwenye red unanikejeli, sawa. Nakubali, ndio maana Mzee Mengi anaweza kupata faida kubwa kwa kuwa na volume kubwa ya mauzo ya Fanta, coca cole etc. Alikuwa hana ushindani hivyo hata ukapata senti mbili kwa 500 mls (kwa chupa moja) kwa mauzo ya milioni kadhaa a day, utapata faida kubwa sana. I can see biashara ya simu za mikononi, tangu enzi ni elfu moja! lakini volume ya customers ni kubwa- of course wanaweza cheza na time kwenye computer. Jamani kuzunguka dunia siyo hoja, hoja ni kuweza kuwa nje ukapenda kutalii hivyo utataka kujua bei za ndege. Kwa ndege both aspects matter-distance and volume! definitely ukiwa na volume kubwa unaweza kupunguza bei lakini to a certain limit beyond which you will operate at a loss! Labda uwalalie wafanyakazi kwa kuwaminya maslahi yao-kama ulivyosema factors ni nyingi. Kwa hapa TZ wanaweza kuwaminya wafanyakazi wanavyotaka, ndio maana nasema common sense mambo mengine inakupa jibu na ka elimu kidogo. Nielimishe ndugu, looks we ni mchumi. Mimi ni biologist