Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Alikufa bila hata ya kupata Mimba
Huyu alikuwa Nyakanga kweli kweli
Nadhani faru Ndugai ndiye abayeongoza kwa umaarufu kwenye ile creta
Taratibu za mazishi zinasubiri Mzee amalize mapumziko ya Mwisho wa mwaka tujue kama ataweza kuhudhuria au vinginevyo maana bila ya juhudi zake huyu Faru angeshauliwa mapema sana na Majangili
Kifo cha kawaida cha Faru Fausta ni ishara ya uwajibikaji na juhudi ya awamu ya Tano otherwise angeuwawa na Majangili zamani
Aaaaaa, unikumbusha moja ya hotuba za mh Lema pale bungeniNadhani faru Ndugai ndiye abayeongoza kwa umaarufu kwenye ile creta
Mzee inamaana umechangia bila kusoma uzi?
Mbona unaleta uvivu wa kusoma mkuu, soma uzi pia huyu fausta alikuwa maarufu kitambo sana hukuwahi pata taarifa zake?Poleni sana wafiwa, kaacha watoto na wajukuu wangapi?
Wewe acha maneno, mmawia katika uzi wake hapakuwa na habar hii. Uzi huu umeunganishwa na uzi mwingine uliokuwa na habari za uzao kuwa hakuwahi kuzaaMzee inamaana umechangia bila kusoma uzi?
Kaa kimya sisi ndo wataaalamuTanzania bwana,tunatunza faru mmoja kwa hela nyingi tunashindwa kutangaza vivutuo ambavyo havijulikani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaleta uvivu wa kusoma mkuu, soma uzi pia huyu fausta alikuwa maarufu kitambo sana hukuwahi pata taarifa zake?
😂😂😂😂Ongeza ongeza nyama kwenye cv ya marehemu..
Kaacha watoto wangapi? Wajukuu wangapi? Alikua anapiga mishe gani n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Amekufa akiwa Bikra