Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,509
- 14,786
Ukiona mtu anazungumzia sana uchawi, LAZIMA atakuwa mchawi. Kama unaamini Kuna watu wanatumwa, basi LAZIMA wewe mmoja wao. Na inawezekana wewe ni mmoja wa waliotumwa kuchoma mali za watu Oktoba, 29. TUTAKUFUATILIA!!!!Wewe ndiyo una open mind? Mnatumwa Kwa kuwa Kwa akili ya kawaida mtu mwenye utimamu hawezi kuandika mambo asiyoweza kuyatetea kama hajatumwa.
Mtu anayetumwa ni kama robot. Robot linafanya mambo mengi lakini ni Kwa vile tu lilivyokuwa limeprogramiwa.
Wewe Tlaatlaah na wengine wa aina yenu hamfanyi mambo kwa utashi wenu wenyewe,bali mnatumwa!