Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,137
- Thread starter
- #101
Ukishikilia dini peke ake sio suruhishoShindwa pepo 🤔
Ukishikilia dini peke ake sio suruhishoShindwa pepo 🤔
Ukipatwa na mambo utaelewaRubbish of the highest degree order
Niwaumize kivipi mkuu 😂😂😂Kwahy upo tayari atuumize kisa n rafiki yako hvy unamtetea?
Nipo mbioni kuandika kitabu nahitaji graphics design wawiliMtoa mada jina lake linaakisi alichokiandika Poor Brain
Mkuu usipotoshe watu kwenye hii madaLbda Mavuzi makuzi
Shukur kwa kuamka mapema YAKUZNdo maana yake mkuu.
Dunia imejaa upendeleo.
Ni majina hayo ya hao maraikaKwanza aseme nin maana ya Yakuz ,yavuz
Wa mbinguni ama dunianiNi majina hayo ya hao maraika
Mda wa usiku hao maraika wanashuka mkuuWa mbinguni ama duniani
Hapa ishu ni YAKUZI, YAVUZIWatu wanasoma uzi kujibu kilichoandikwa na kufanya kilichoagizwa..
Don't come with negativity, just say sorry i didn't do it that's all
Usicheke mkuu...Duuh Kaz ipo
KUTISHANA MKUU HUKU MALIZIA TUHi ni mara ya pili natoa elimu ya Angel number lakini mod wamekua wakifuta kila siku its oky..
Leo natoa somo moja ambalo kama una roho nyepese usije jaribu hata kidogo.
Ikifika sa nane usiku jifungue chumbani kwako kama upo na mwenzako mwambie akupishe maana hilo jambo ni pasua kuchwa kidogo.
Baada ya hapo hakikisha ujavaa nguo zenye kukubana sana yaani uwe freely.
Katika hiko chumba hakikisha hakuna maji, chumvi wala kitana au chanuo.
Chukua simu yako kisha weka hii nyimbo kwa sauti kubwa sana kama una earphones vaa (Hoist the colour)
View attachment 3297278
Nyimbo hii inapoanza kuimba weww kuwa unasema haya maneno mara kwa mara
(YAKUZ, YAVUZ )
Mda huo unakua umekaa chini ujaegemea popote pale. Baada ya nyimbo kuisha kwa kuwa uliweka repeated one mara ya pili acha kusema haya maneno ila sasa hvi sema chochote unachotaka kukiona mda huo unakua umefumba macho.
Nb unapoonza hakikisha unamaliza
Niwie radhi ndugu....mie ni mtu wa mizaha sipo siriaz kwa lolote ni ku joke joke tu 🙂Mkuu sijasema mavuz mimi daah
Nakazia hapa👿Ndiyo maana MODS wanafungia nyuzi zako, NAWASHAURI MODS WAKUPIGE BAN KABISA! HII NI ELIMU GANI ISIYOKUWA NA MUKTADHA WOWOTE! UNAANDIKA THREAD ALAFU UNAISHIA HEWANI! THIS IS FOOLISHNESS SIO KNOWLEDGE!!
👀👀👀jinsi ya kufungua jicho la 3
Tumekubaliana kua jicho la tatu liko ndani ya suruali zetu, hivyo sio kitu cha kufunguliwa kama unavyo taka mdau.Mkuu bado unaendelea unazani hizo elimu tunatoa toa tuu.
Hapo mpka mchangie chochote kitu niendelee ujue jinsi ya kufungua jicho la 3
Kajamba nani?Huu ni ushuzi