Kwa hapa Arusha sijawahi kuona umati mkubwa namna hii ni zaidi ya mechi ya Simba na Yanga hapo DarKuna habari kuwa zaidi ya mazishi ya Mwl Nyerere hakujawahi tokea mazishi mengine yenye watu wengi kama haya
Dah sedekia
Dah nmemkumbuka sanaBoss huu uzi vp?
Ni mimi nimeupandishaHivi inakuwa mods mnapandisha uzi wa miaka 10 iliyopita hapa?