Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,465
sasa mkuu mme wake kafariki ulitegemea nyapu yake iote kutu bila kusuguliwa?mke wake nilisikia kaolewa na muislam ?ni kweli au mwenye info atiririke
sasa mkuu mme wake kafariki ulitegemea nyapu yake iote kutu bila kusuguliwa?mke wake nilisikia kaolewa na muislam ?ni kweli au mwenye info atiririke
Teh ... Ila naskia mke wake alkua pasua kichwa sanasasa mkuu mme wake kafariki ulitegemea nyapu yake iote kutu bila kusuguliwa?
mfano mke angetangulia mbele ya haki jamaa si angeoa au?Teh ... Ila naskia mke wake alkua pasua kichwa sana
Teh ... Ila naskia mke wake alkua pasua kichwa sana
Issue si kuolewa ila nafikiria ilikuwaje akakubali kuolewa na madhabahu ingine bora angeolewa na mlokole mwenzie kama alivyokua mme wake na alikuwa kwenye huduma ya mwl Mwakasegesasa mkuu mme wake kafariki ulitegemea nyapu yake iote kutu bila kusuguliwa?
maana kuna mahali niliisikia ila siku-pay attention kwayo..
mke wake nilisikia kaolewa na muislam ?ni kweli au mwenye info atiririke
msambwanda upo kitu maji ya kunde na tabasamu fulani hivi la kichokozi huku macho yanaitaKama alikua na msambwanda ni balaa, maana wanawake wenye misambwanda wanajiona sana
Kuna kitu kinatafutwa hapa mkuuHivi inakuwa mods mnapandisha uzi wa miaka 10 iliyopita hapa?
Inawezekana na wachangiaji wengine kwenye huu uzi washakufa.Hivi inakuwa mods mnapandisha uzi wa miaka 10 iliyopita hapa?
Nyimbo zake bado zinazidi kutubariki
Aendelee kulala salama