Famine Ravages Through Somalia.

_54048597_54048596.jpg
 
mimi sifahamu, hawa waislamu somalia, afghanistan, pakistan, iraq etc,
hasa lengo lao nini? kuandhibisha watu, vifo, njaa na mateso wanayopata
hawana hisia nyoyoni mwao - leo somali kuna nini hata kuwe na magroups
za kuchinjana - laa haula wala kuwata ila bilah, Allah istur.
 
Mweneyezi Mungu tuepushe na janga la njaa jamani!!!!

'Belief in myths allows the comfort of opinions without the discomfort of thought.' - JFK

You should know by now that I specialize in contradictions, between the two, which do you uphold?
 
Mweneyezi Mungu tuepushe na janga la njaa jamani!!!!

'Belief in myths allows the comfort of opinions without the discomfort of thought.' - JFK

You should know by now that I specialize in contradictions, between the two, which do you uphold?

You just had to come out of the woodworks with that huh?...:biggrin1:

The latter makes more sense if you must know, O ye mighty sage!

This is a man-made calamity.
 
You just had to come out of the woodworks with that huh?...:biggrin1:

The latter makes more sense if you must know, O ye mighty sage!

This is a man-made calamity.

Sasa futa superstitions za "mwenyezi mungu tuepushe na janga la njaa".

Ina maana wanaokufa kwa njaa mungu anaacha wafe kwa makusudi wakati anaweza kuwaepusha? Na ikiwa hivyo kwa nini anawakatili hivyo ilhali uwezo wa kuwaepusha anao?

Au ego yake inamtaka asubiri kwanza sala zijae kibaba, msiposali vya kutosha hanyeshi mvua mnakufa kaa nzi?
 
Sisi Waafrika ni binadamu wa aina gani?
Hebu chukulia kwa mfano janga la njaa kuu linaloendelea katika pembe ya Afrika. Sikubaliani na dhana kwamba hakuna hata nchi moja ya Kiafrika yenye uwezo wa kusaidia hata angalau kwa kuonesha nia njema tu.Ni kweli kuwa Tanzania, au Zambia, au Botwasana nchi hizi haziwezi hata kutoa tani hamsini hamsini tu za mahindi kusaidia?
Mimi nafanya kazi na shirika la kutoa misaada, na inanisikitisha kuona nchi kama Slovakia, Bangladesh au Maldive zimo katika orodha ya nchi zinazotoa misaada ya kibinadamu, wakati nchi kama Nigeria, Angola, Gabon eti haziwezi! Siku zote tumezoea kupewa sisi. Jamani, hii akili ya 'kuruzukiwa' itakwisha lini? Kweli sisi twastahiki matukio yote ya maajabu yaliyotusibu katika historia: hatujithamini na wala hatuna 'pride'.
 
UNAJUA KWANININI WAZUNGU HUFANIKIWA SANA?
KWASABABU WANASAIDIA SANA. MUNGU ANAWAONGEZEA REGARDLESS YA MAZAMBI YAO
Sisi Waafrika ni binadamu wa tofauti kwa kiasi kikubwa....utakuta tajiri fulani ana mali nyingi , anakula na kusaza....Hapo hapo unakuta kuna ndugu zake wanalala njaa....Mbaya zaidi kuliko awasaidie NI bora kumwaga chakula..... INASIKITISHA SANA!
 
Poleni sana Somali, Maumivu yenu ni maumivu yetu pia, lakini kutokana na sababu zinazoweza kuzuilika zilizo ndani ya uwezo wetu, tunasikitika kuwajulisha kuwa resources zote ambazo tungewapa kama msaada zimeingizwa kwenye bajeti ya safari zisizo na tija za mkuu wa nchi za kwenda Ulaya na marekani kuwatembelea maswahiba zake au watoto wa maswahiba zake wanaosoma huko.
 
hapa kwetu penyewe kuna watu wanakufa kwa njaa, na Serikali, ili kulinda heshima yake huwa haikubali huu ukweli. achilia mbali hao ndugu baki wa Somali...
 
028144-01-02.jpg



A severely malnourished child waits with his mother to be admitted to Banadir Hospital in Somalia's capital Mogadishu on July 26, 2011. An estimated 3.7 million people in Somalia -- around a third of the population -- are on the brink of starvation and millions more in Djibouti, Ethiopia, Kenya and Uganda have been struck by the worst drought in the region in 60 years. The UN's World Programme Programme (WFP) said its food airlift to the Somali capital Mogadishu for drought victims was delayed on Tuesday due to last minute bureaucratic hurdles in Kenya. "The aircraft are loading with the hope that they can take off on Wednesday," said WFP spokesman David Orr. AFP PHOTO/ Mustafa ABDI​
 
Back
Top Bottom