Familia ya Ruge Mutahaba imeanza kuomba misaada kwaajili ya matibabu yake

Inategemea bima ya aina gani...takupa mifano michache..
1.Bima nyingi inategemeana na uwezo na takwa la mkataji huhudumia katika hospitali teule hapa nchini, kama kuna umuhimu wa referral Zaidi evacuation ni Nairobi....then ...South Africa....
2,NHIF.....Hospitali za ndani,then Rufaa Muhimbili ..kama kuna umuhimu wa matibabu Zaidi Nje ya Nchi India ama nchi nyingine pendekezwa….
 
Aprox $2,200 kwa siku si kitu kwa uhai wa mtu, ila kama ataugua kwa mwaka na ushee inaweza kuwa shida kidogo. Tuombe Mungu amponye haraka!! Pole kaka Ruge.
 
Washaanza majibu ya shombo kuto wazo la bima ya afya ETI UNAFIKIRI HANA BIMA sasa kama ana bima kwa nini uje kuomba michango ...JF...
TUMIA LUGHA RAFIKI WATU WAUNGWANA ….tutaona la kufanya na kuna forums nyingi official kama Clouds amabvako anafanya kazi kama wazo la awali kuandaa tamasha na RC AKASAPPORT NA WASANII WOTE....THEN MAPATO YAKAENDA KUSAIDIA WANAOMUHUDUMIA NK...
 
bima ya afya haitibu nje ya nchi mkuu.. hata hao viongozi wanaopelekwa apollo.. kule serikali inalipa cash
Bima ya nje ipo acha uongo ukisafiri kwenda nje muulize ajenti wako wa kukata tiketi atakukatia bima ya afya ukitaka uondoke nayo pia kampuni za Bima za afya zote zina bima ya matibabu nje ya nchi ni mfuko wako tu .Wanakukatia Bila shida
 
Bima ya nje ipo acha uongo ukisafiri kwenda nje muulize ajenti wako wa kukata tiketi atakukatia bima ya afya ukitaka uondoke nayo pia kampuni za Bima za afya zote zina bima ya matibabu nje ya nchi ni mfuko wako tu .Wanakukatia Bila shida

weka ushahidi.. wa bima ambazo zinatubu nje ya nchi.. mfano nhif ambayo wafanyakazi wote wa serikali na mashirika ya uma na mawaziri wanaitumia.. ni package ipi inakutibu nje ya nchi kwa kadi yako tu.. weka facts. na link za ushahidi.. sio bla bla
 
weka ushahidi.. wa bima ambazo zinatubu nje ya nchi.. mfano nhif ambayo wafanyakazi wote wa serikali na mashirika ya uma na mawaziri wanaitumia.. ni package ipi inakutibu nje ya nchi kwa kadi yako tu.. weka facts. na link za ushahidi.. sio bla bla
INA KUWA KAMA KUMWAMBIA MWENYE JIBU LAKE KICHWANI HIYO PROCESS NDIO...sahihi na some selected hospitals in DAR KWA MFANO,KWA KAIRUKI...SANITAS....REGENCY....NK
Refferel ni Muhimbili,Bugando na KCMC baada ya hapo kama kuna haja BROTHER UNAPELEKWA NJE YA NCHI.....visit NHIF for details if u don't believe this forum here or MMC nk
 
weka ushahidi.. wa bima ambazo zinatubu nje ya nchi.. mfano nhif ambayo wafanyakazi wote wa serikali na mashirika ya uma na mawaziri wanaitumia.. ni package ipi inakutibu nje ya nchi kwa kadi yako tu.. weka facts. na link za ushahidi.. sio bla bla
AAR na kampuni ya Jubilee insurance ni Moja ya kampuni zinatoa hiyo bima ya matibabu nje ya nchi
 
AAR na kampuni ya Jubilee insurance ni Moja ya kampuni zinatoa hiyo bima ya matibabu nje ya nchi

tatizo ni moja.. unapenda kutoa majibu juu.. weka facts.. mfano aar wana package hii ambayo ukienda, south, india au ujerumani.. hospitali unawapa kadi yako tu unapata matibabu..


siku hizi kila kitu kipo online.. weka link na ushahidi nani alienda nje na kadi ya aar akatibiwa.. au weka link ya package.. ku prove hoja yako...

penda sana kujenga hoja kwa facts
 
INA KUWA KAMA KUMWAMBIA MWENYE JIBU LAKE KICHWANI HIYO PROCESS NDIO...sahihi na some selected hospitals in DAR KWA MFANO,KWA KAIRUKI...SANITAS....REGENCY....NK
Refferel ni Muhimbili,Bugando na KCMC baada ya hapo kama kuna haja BROTHER UNAPELEKWA NJE YA NCHI.....visit NHIF for details if u don't believe this forum here or MMC nk

kaka. mimi nimefika apollo health city.. mzazi wangu siwezi mtaja ila ameshika madaraka makubwa tu kwenye shirika nyeti la uma.. alishalazwa apollo hyderabad... hiyo nilienda kumsindikiza. alishatibiwa millpark south africa, na alishatibiwa narayana. prince all khan na hospital kazaa nje ya nchi...

kote huko hela za malipo zilikuwa nu cash tupu.. shirika ndilo lilikuwa linalipa kwa wire transfer..

mfano hai.. kwa nini viongozi wengi wanaenda apollo india.. sababu hospital ina makubaliano na serikali.. sio na bima ya afya bali na serikali....

hizi aar , strategies, jubelee zipo nchi kibao kama franchise zinazojitegemea... usitegemee hata siku mojaa kadi yako ya aar tanzania.. itakutibu hospitali ya apollo kisa india napo kuna aar...

tundu lisu hapo aga khan tu nairobi wamelipa cash.. na hapo ana nhif premium ile ya kibunge...

ndio maana nikaomba muweke facts.. sababu mimi nimeona kwa macho yangu... na kwa nafasi ya mzaz aliyokuwa nayo na bima ya afya ya taasisi hiyo enzi za jk ilikuwa ni aar.. japo sasa hivi hiyo taasisi inatumia nhif..

pia watu wengi hamuelewi haya mambo ya bima.. ila mnajibu juu juu kwa stori za vijiweni...

ambaye ashawai kutibiwa kwa bima nje ya nchi aje hapa aweke ushahidi.. au weka facts..

hivi unafikiri mtu kama ruge ni mijinga kutokuwa na bima ya afya.. unajua familia aliyozaliwa ruge wewe? baba yake na ruge unamjua?

ruge ni mtoto wa profesa mutahaba.. pale udsm.. na degree yake kasoma marekani.. mama yake, baba yake, ndugu zake wote wasomi na wana uwezo.. hawawezi kuwa wajinga kukoaa bima ya afya.. hizo mnazozitaja taja za less than milioni 5 kwa mwaka... huku watoto wa ruge wanasoma feza wanalipa zaidi ya hizo milioni 5...
 
tatizo ni moja.. unapenda kutoa majibu juu.. weka facts.. mfano aar wana package hii ambayo ukienda, south, india au ujerumani.. hospitali unawapa kadi yako tu unapata matibabu..


siku hizi kila kitu kipo online.. weka link na ushahidi nani alienda nje na kadi ya aar akatibiwa.. au weka link ya package.. ku prove hoja yako...

penda sana kujenga hoja kwa facts
Mimi sio marketing officer wa AAR na siwezi Toa Siri ya mtu aliyetibiwa ugonjwa ni siri ya mtu.Nenda ofisini kwao watakupa details zote.Ila bima ya kusini wagonjwa nje ya nchi wanayo.Ukisafiri nje mfano ukitaka bima hata Reliance insurance Wanakukatia hiyo bima.Bima zipo kampuni hizo wasiliana nazo
 
Hamna kitu kibaya ktk maisha kama kinyongo na kisasi,tuishi na watu vizuri hizi nafasi tulizojaliwa na muumba tuzitumie vizuri na zisitute kiburi na majivuno,kwani hujui kesho atakusaidia nani inawezekana ikawa yule uliyegombana naye,mnapokoseana msamehane,maisha yaendelee.
 
Mimi sio marketing officer wa AAR na siwezi Toa Siri ya mtu aliyetibiwa ugonjwa ni siri ya mtu.Nenda ofisini kwao watakupa details zote.Ila bima ya kusini wagonjwa nje ya nchi wanayo.Ukisafiri nje mfano ukitaka bima hata Reliance insurance Wanakukatia hiyo bima.Bima zipo kampuni hizo wasiliana nazo

tatizo lako unatofautisha vitu.. hujengi hoja kwa facts.... hata ukitaka kupanda mlima kilimanjaro kuna bima unapewa ila haimaanishi hiyo bima itakutibu tatizo lako la figo au la moyo la mamilioni .. hata ukiagiza gari japan used.. kuna bima linakatiwa ya usafirishaji.. ila haimaanishi hilo gari likifika tanzania litaendelea kuishi kwa hiyo bima.

bima za afya zina utaratibu wake mzito.. kwanza kukata bima ya afya premium tu.. lazima wajue kwanza unaumwa nini? na hizo aar, strategy bima zina kiwango kikifika mwisho tu.. hawakulipii tena.. tena hapo kwa matibabu ya ndani tu ya nchi.. halafu ndie zikakulipie apollo au millpark...

jifunzeni kuchunguza vitu.. mtakuja aibika siku moja...

use google.. usome about health insurance hata za nchi zilizoendelea uone taratibu zake zilivyo
 
Nisaidie fact za bima ya afya inavyofanya kazi nje mfano umekata bima ya afya Tanzania ya thamani ya matibabu ya milioni 100.Ukaanza kutibiwa Tanzania kwa matibabu ya thamani ya shilingi milioni 60.Ghafla ukatakiwa kwenda kutibiwa nje bima itaendelea kulipa gharama zinazofikia kiasi cha milioni 40 tu .Sasa wengi huenda referral nje ya nchi wakiwa wamemaliza pesa za bima zao hivyo bima haiwezi gharamia .Pia bima za nje ni ghali wakata bima wengi hukata bima local kuwa ahhh ni ugonjwa gani unitese nilipe bima kubwa ya kutibiwa nje wakati Tanzania kuna mihospitali kibao na ya rufaa yenye madaktari bingwa nakata bima ya hela ndogo ya hapa hapa nchini.Akiugua ugonjwa wa kumpeleka nje ya nchi lazima aende na maburungutu ya pesa cash.
 
Nisaidie fact za bima ya afya inavyofanya kazi nje mfano umekata bima ya afya Tanzania ya thamani ya matibabu ya milioni 100.Ukaanza kutibiwa Tanzania kwa matibabu ya thamani ya shilingi milioni 60.Ghafla ukatakiwa kwenda kutibiwa nje bima itaendelea kulipa gharama zinazofikia kiasi cha milioni 40 tu .Sasa wengi huenda referral nje ya nchi wakiwa wamemaliza pesa za bima zao hivyo bima haiwezi gharamia .Pia bima za nje ni ghali wakata bima wengi hukata bima local kuwa ahhh ni ugonjwa gani unitese nilipe bima kubwa ya kutibiwa nje wakati Tanzania kuna mihospitali kibao na ya rufaa yenye madaktari bingwa nakata bima ya hela ndogo ya hapa hapa nchini.Akiugua ugonjwa wa kumpeleka nje ya nchi lazima aende na maburungutu ya pesa cash.

tuanzie hapa kwanza kupata facts ?umeshawai kufika hospitali gani nje ya nchi ukaona utaratibu wa matibabu ulivyo? sema kwanza hospitali uliyofika ukajua?
 
Back
Top Bottom