Ndyo nani?Tuliohudhuria mtoko wa pasaka huyu muimbaji Christina shusho hana ndugu? Mbona wasanii wakiwa na tafrija wakiitwa ndugu hujitokeza kwa wingi sana ...vipi kwa huyu dada yetu na mbona siasa ni nyingi kuliko muimbaji wake
Mmmh huyo aliashaamua kumuacha Yesu na kwenda huko kwenye jicho la tatu na alisema katoka mwenyeweAcha kumsema mpakwa mafuta wa Bwana...
Watumishi wa Mungu wanavita sana ikiwepo ya kutengwa na watu wa karibu...
Nabii hakosi heshima isipokuwa kwa watu wa nyumbani mwake
Mh kweli?Wapo makere camp kigoma na USA muulize kibu d ni moja ya ndugu zake
Kibu d ndo nani?Mh kweli?
Wapo makere camp kigoma na USA muulize kibu d ni moja ya ndugu zake
Mchezaji wa Simba aliyepewa uraia wa Tanzania kisa kuifunga yanga.Kibu d ndo nani?
Hao uliowataja hata siwajui.Kasulu Ndiyo Ilipo Makele Njia Kwenda Kibondo Hapo Anatoka Mke Wa Zabayanga Pia, Mbonimpaye
Mtafute Instagram umuulize mkuu, anapatikana kuleTuliohudhuria mtoko wa pasaka huyu muimbaji Christina shusho hana ndugu? Mbona wasanii wakiwa na tafrija wakiitwa ndugu hujitokeza kwa wingi sana ...vipi kwa huyu dada yetu na mbona siasa ni nyingi kuliko muimbaji wake
Hayo mafuta alipakwa na nani? Maana Kibiblia Kila aliyepakwa mafuta alipakwa alipakwa na Mtu fulani aliuetumwa na Mungu.Acha kumsema mpakwa mafuta wa Bwana...
Watumishi wa Mungu wanavita sana ikiwepo ya kutengwa na watu wa karibu...
Nabii hakosi heshima isipokuwa kwa watu wa nyumbani mwake