Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,533
- 32,757
Biblia inasema Mungu alituumba kuja kumsifu na kuzaliana.
Wanamtunza yeye, wanampetea pesa kuliko hii mitoto iliyooaAnakula nini sasa
Lazima watakuwa WACHAGA tu Hawa
Ni hasara au faida?
Bila wajukuu, kuchana makochi, kupasua vyombo, kupigisha shoti pasi, kuna raha gani hapo?In fact anakula kiulaini sana kuliko watoto wangeingia katika ndoa
Lost duniani ila BIG GAIN Mbinguni 🙏Huyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Nilitaka kusema THE END OF A BLOODLINE !
Mkuu unaweza kunipa kifungu chochote kwenye biblia kinachosema uwe mtawa (brothers /sisters )Lost duniani ila BIG GAIN Mbinguni 🙏
ni kwa hao wanaume ndio wataweza kuleta wajukuu kwa siri ila hao wanawake ni ngumu kuzaa kwa siri kwa sababu watabeba mimba na kuonekana ni wajawazito, watafukuzwa utawa kwa kukiuka viapo vyao vya kuwa watawaLakini hao wazee hapo hawakosi wajukuu piga ua kizazi kitaendelea tu.
Kweli kàbisa maana hizi dini tulipigwa sanaHapo mzungu anajipongeza, hao wabantu amefanikiwa kuwabrainwash ipasavyo
sana yaaniHuyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
wajukuu wanatoka wapi hapoWajukuu watakua makatekista
Ova
kwahiyo mbinguni watu wanaenda wakiwa watawa auLost duniani ila BIG GAIN Mbinguni 🙏
Hasara gani wamepata?Huyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mimi siwajui, na sijafurahia, sembuse huyo Mzee?😅😅😅Mzee anaonekana kabisa hajafurahi