kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi an Teknolojia January Makamba akikaribishwa makao makuu ya Vodacom Tanzania na Ofisa Mkuu wa Mahusiano na Mauzo kwa Wateja Wakubwa waVodacom Tanzania Mwamvita Makamba. Naibu Waziri Makamba alifanya ziara ya utambulisho Vodacom na kukutana na Uongozi wa kampuni hiyo.