Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,738
- 13,106
Mkuu mimi nilijua aliposhinda kesi alimchukua mtoto, sasa hapa nashangaa kuwa mtoto bado yuko kwa Mama yakeFaiza anaboa wa kwanza kusimanga wenzie hawana watoto kisha wa kwanza kujipa uvictim. Yeye si superwoman ampotezee tu sugu na kulea mwanae.
Mwenzie flora mvungi alijua kakosea na kujuta kuhusu hbaba kisha akamove on ila huyu anayejiona dada wa mujini kutaka kuishi kwa mashindano kwa pesa za sugu lazima akusanye drama mitandaoni aonewe huruma.
Anajisahaulisha kuwa sugu alishinda kesi ya custody ya mtoto na ana haki ya kumchukua muda wowote atakao