Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Masikini mikia furaha yote hiyo kwaajili ya kibonanza tu??? au kuna lingine?
Tunawakaribisha VPL, siku mkimiss step tu. Mtajutraaaaa kuijua Yanga.

Yanga iliyokimbia na chupi? Afadhali zizungumze timu zingine nyie hata tukiamka na hangover mkijitahidi draw.
 
Acheni huu upuuzi. Tendo la ndoa ni takatifu si la kufanyia utani kama huu. Dhana hii inaonesha mwanamke anapolala na mwanaume ni kama anadhalilishwa na mwanaume anaonekana ni wa maana katika hilo tendo.

Simba mwenyewe jogoo haliwiki hadi viagra (matuta)!

hahaaah!!
Eti viagra (mtatu)!
Si tumekutana na la pale kwa macheni.
 
Mikia oneni aibu, huu siyo ushindi wa kutembea kifua mbele. Ni aibu kutambia ushindi wa matuta ndiyo maana wakuu wenye heshima zao hawazungumzi lolote hapa jamvini.

Jitu zima ulipokuwa ukiomba dua nashangaa hukuwaombea migongo wazi wenzako. Zilionekana chupi tu mmebakiza bandarini.
 
Dah mikia ilivyo na maneno, wiki hii haitakuwa njema kabisa, ila Mtibwa mmepigana hasa. Heshima kwenu Mtibwaaaaa.....
Naichukia hili litimu la msimbazi, lishuke daraja tutulie.
 
Mtibwa asipochukua kombe hili naomba mods nipumzishe kwa siku tatu.
adhabu hiyo ianze saa 4:00 usiku hadi ijumaa saa 4:00 usiku.
nawasilisha.
Nadhani Mods Mtakua mmetekeleza majukumu yenu kwa huyu kipele.
 
Umelenga haswa Mkuu! Kwa jinsi nisivyoipenda Azam, ningeshangilia Mikia japo ni kwa siri sana kwa hofu ya 'wayahudi'. Simba siichukii bali ni watani wetu, kikwetu tunawaita 'Bhaphughu'.Azam naichukia absolutely, hata chapati huwa sili, juice sinywi, Azam TV siangalii na bidhaa zake zote situmii. Sasa hivi nina changamoto moja tu: sehemu ya kodi anayolipa SSB naipokea kama mshahara, natafuta ufumbuzi nitambue ni kiasi gani ili nisiwe naichukua hiyo pesa, itasaidia watoto yatima. Ni hayo tu Mkuu wangu.

Kila la heri Mtibwa Sugar a.k.a Libolo FC la Bongo.
Haya haya Libolo limehasiwa na Dokta Ivo Mapunda
 
Dah mikia ilivyo na maneno, wiki hii haitakuwa njema kabisa, ila Mtibwa mmepigana hasa. Heshima kwenu Mtibwaaaaa.....
Naichukia hili litimu la msimbazi, lishuke daraja tutulie.

Mkuu usihofu wikendi hii watakuwa Mtwara, midomo itashonwa huko.
 
Jamani hakuna watu wa Simba huko zenj embu rusheni mapicha bana!!! Kapicha jamani jukwaa linoge.....
 
Hakuna gharika ligi kuu hakuna matuta.

Unafuatiliaga mpira wewe zaidi ya mechi za Yanga? Matuta ni sehemu ya kuamua matokeo ya mechi ya mpira wa miguu. kacheki rekodi za FIFA uone mechi kubwa zilizoamuliwa kwa matuta na ziko kwenye historia. Mapinduzi cup ndo inashika kasi, tunaweka rekodi yetu mapema, kama kawa!
 
Back
Top Bottom