Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Sio lazima yanga... mchangie..kwa maneno makali.... hahahahaha....
Simba oyeeeeeeeee
 
Arusi hata sio yenu mnakata viuno kama sio uchuro ni nini?

Nijibu post yangu nikumalize fasta. Umejiunga JF bila kusoma kanuni eeh! Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, na ulimwengu ndio sisi.
 
Kalale wewe. Sisi tuna mwali ndani. Nyie simlikimbia shughuli ikabidi tutafute mchepuko lakini sio mtamu kama nyie.
 
kwa niaba ya crew nzima niwashukuru wote mliotujalia usindikizaji na utaarifu hadi siku ya leo akiwemo mkolaj aliyeamua kusoma nyota na kukimbia mapema

cc

Bantulady

cc

Makoye Matale

cc

Grafani11
 
kwa niaba ya crew nzima niwashukuru wote mliotujalia usindikizaji na utaarifu hadi siku ya leo akiwemo mkolaj aliyeamua kusoma nyota na kukimbia mapema

cc

Bantulady

cc

Makoye Matale

cc

Grafani11

Huyo wa mwisho ni mwenzako. Asante sana kwa kutambua uwepo wetu na kunogesha nyuzi za mechi zote, hebu fikiria uzi mzima unaandikwa na wanasimba tu au wanayanga tu, uzi huo utanogaje?
 
Nadhani ushindi huu utaimarisha timu yetu Kwa michezo ijayo ikiwemo ligi kuu.
 
Back
Top Bottom