Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Mtibwa asipochukua kombe hili naomba mods nipumzishe kwa siku tatu.
adhabu hiyo ianze saa 4:00 usiku hadi ijumaa saa 4:00 usiku.
nawasilisha.
 
Kiukweli hii Simba imebadilika sana toka Simba ya Phiri, natumai shughuli ndo imeanza. Wanacheza kwa hari.
 
Bantu lady umeolewa? maana naona unataka kuwachokoza watu tu humu ndani. acha watu wachezee kichapo Simba huwa wanamkimbiza mwizi kimya kimya... waka hawana kelele...halafu sometme wanapomkimbiza mwizi wanajifanya kuchechemea.so mwizi anapunguza mwendo au anaamini kuwa hatoshikwa akija kushtuka too late amekumbatiwa na kupewa za chembe. hebu kaa pembeni tuache wanaume tufanye yetu. sawa bint? kaa mbali na sisi kabisa... hii ni weka mbali na watoto
 
Mtibwa asipochukua kombe hili naomba mods nipumzishe kwa siku tatu.
adhabu hiyo ianze saa 4:00 usiku hadi ijumaa saa 4:00 usiku.
nawasilisha.

Japo mimi pia naiombea mtibwa ichukue kombe lakini umenitia shaka kwa huu ujasiri!
Nahisi utakua na ID nyingine sio bure aisee
 
Mtibwa asipochukua kombe hili naomba mods nipumzishe kwa siku tatu.
adhabu hiyo ianze saa 4:00 usiku hadi ijumaa saa 4:00 usiku.
nawasilisha.

mkuu nipo hapa kukufanyia UNOKO juu yako pindi yatakapo timia.
 
Bantu lady umeolewa? maana naona unataka kuwachokoza watu tu humu ndani. acha watu wachezee kichapo Simba huwa wanamkimbiza mwizi kimya kimya... waka hawana kelele...halafu sometme wanapomkimbiza mwizi wanajifanya kuchechemea.so mwizi anapunguza mwendo au anaamini kuwa hatoshikwa akija kushtuka too late amekumbatiwa na kupewa za chembe. hebu kaa pembeni tuache wanaume tufanye yetu. sawa bint? kaa mbali na sisi kabisa... hii ni weka mbali na watoto

Mkuu umekosea, moyo wako umejaa unyanyasaji wa kijinsia. JF ni mahala pa fursa sawa kwa wote bila kujali rangi, kabila, utaifa, jinsia n.k. Kila mtu anayo haki ya kutoa mawazo kwa uhuru bila kunyanyaswa na mtu yeyote. Mwombe radhi Bantu lady na usipost tena mawazo potofu kama haya.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom