Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Ukipita mitaa mbali mbalimbali yenye matawi ya simba utakuta vijana kwa wazee wametulia wakisubiri ushindi wa leo dhid ya mtibwa.

Simba imetimia na kutulia sawasawa kiwango kipo juu na hii itadhihirshwa leo pale uwanja wa amani.SIMBA OYEEEEEEEEEEEEEEEEE

hatimaye TAULO LA KICHAWI limepeleka kombe mtaa wa msimbazi. yeboyebo mpo?
 
Dah! Mnyama kisha rarua kudadadadadadekiiiiii. Ni noumer huyu mnyama, mfalme wa pori.
 
SMBAA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
SIMBA 4 MTIBWA 3 Simba imepata penalti 4 na mtibwa imepata penalti 3, HONGERA SIMBA
 
Back
Top Bottom