kwa ushindi gani mnaotambia bhana?
Penalti si bahati nasibu2.
acha tu!
Kuna watu hawatalala leo.
acha longolongo,tumeshinda hatujashinda??!!Ligi kuu hakuna matuta, uki draw unachukua pointi yako moja kama kawaida yenu.
Wasitusumbue ushindi wenyewe wa matuta!
Wasitusumbue ushindi wenyewe wa matuta!
kwa ushindi gani mnaotambia bhana?
Penalti si bahati nasibu2.
Ilitakiwa Yanga ndo afumuliwe malinda leo, washukuru JKU dadadeki.
Masikini mikia furaha yote hiyo kwaajili ya kibonanza tu??? au kuna lingine?
Tunawakaribisha VPL, siku mkimiss step tu. Mtajutraaaaa kuijua Yanga.
Masikini mikia furaha yote hiyo kwaajili ya kibonanza tu??? au kuna lingine?
Tunawakaribisha VPL, siku mkimiss step tu. Mtajutraaaaa kuijua Yanga.
Bonanza
kwa ushindi gani mnaotambia bhana?
Penalti si bahati nasibu2.
Ahh! Sasa ni kujichukulia mzigo wako na kurudi Dar kufaidi mapenzi niue. Shukrani Mapunda.
View attachment 218396
Tumefika hadi maana ni kama tulikuwa tunacheza na timu tatu, Mtibwa uwanjani huku ikipata support ya Yanga na Azam pengine hata na Kagera Sugar. Lakini ingekuwa ni timu moja tu tungekuwa tushamaliza mchezo longtime.
Acha kuota wewe! Mbona mlikula njama na JKU wawatoe kumkwepa mnyama? Acheni woga! Tungepiga viwili tu, cha mbele na nyuma, bhaaas!