Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Simbaaaa ni shidaaaaaaaa
Acheni huu upuuzi. Tendo la ndoa ni takatifu si la kufanyia utani kama huu. Dhana hii inaonesha mwanamke anapolala na mwanaume ni kama anadhalilishwa na mwanaume anaonekana ni wa maana katika hilo tendo.
Simba mwenyewe jogoo haliwiki hadi viagra (matuta)!
Mkuu usihofu wikendi hii watakuwa Mtwara, midomo itashonwa huko.
mmh sijakusoma mkuu!!Ndio kawaida ya masindano
Lala bosi usije bust bure
Tutawaona wengi leo hapa jukwaani.
Lala bosi usije bust bure
Jamani hakuna watu wa Simba huko zenj embu rusheni mapicha bana!!! Kapicha jamani jukwaa linoge.....
La mkosaji
kumbe walikuwa wanacheza simba na yanga!
Mdomo mrefu na mchafu mwache apasuke. Kubwa jinga hilo.
Dah mikia ilivyo na maneno, wiki hii haitakuwa njema kabisa, ila Mtibwa mmepigana hasa. Heshima kwenu Mtibwaaaaa.....
Naichukia hili litimu la msimbazi, lishuke daraja tutulie.
kumbe walikuwa wanacheza simba na yanga!
Mnyama Mkali ndiyo habari ya mjini