barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Mikia oneni aibu, huu siyo ushindi wa kutembea kifua mbele. Ni aibu kutambia ushindi wa matuta ndiyo maana wakuu wenye heshima zao hawazungumzi lolote hapa jamvini.
Wewe ndio basi kabisa, unakumbuka Brazil 1994? Unakumbuka Chelsea na champions league? Hata kama mnadai ni bonanza, ila timu zote za bongo kubwa zimeshiriki ikiwemo na mabingwa wa Ug, na tumeibuka kidedea. Acha wivu wa kike. Kubali matokeo.