Nakunukuu , umesema umefanya research ila iwe kweli au si kweli huoni tatizo, hapa tayari kuna wasiwasi katika majibu yako
1. Hujasema katika research yako umepata majibu gani
2. Kusema huoni tatizo ina maana hujui kama ni kweli au si kweli na hata kama ni kweli basi huoni tatizo,,,
Kuna mahala pia umesema kuna mtu alioa mtoto wa miaka 3,, kwa nukuu hizi naomba nijibu swali langu ulilo quote kwa hii reply
Sent using Jamii Forums mobile app
Danh miaka 6 si mtoto wa vidudu huyo,, all in all asante kwa jibu mkuu ila umekosea kuniita Sheikh, mimi si muislamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Qur'an 36:
hNye nye nye nyenyeeee......!
Jibu swali uliloulizwa acha mbwembwe nyingi za Amina ndala ndefu wa magomen mapipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali yako ya ccm ina uwezo wa kuwapata watu hawa?? Na kama ndio kwanini hawajapatikana mpaka sasa hivi?Wasiojulikana.
Soma hii: Kilichomponza Tundu Lissu ni maneno haya aliyoandika JamiiForums... - JamiiForumsSerikali yako ya ccm ina uwezo wa kuwapata watu hawa?? Na kama ndio kwanini hawajapatikana mpaka sasa hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nimeongelea suala la watu wasiojulikana, swali langu sijauliza kuhusu lissu,, ingawa mmetokea huko kwa lissu,,naomba unijibu kuhusu watu wasiojulikana, kama nilivyouliza
Fata uzi niliokuwekea link utapata majibu huko.Hapa nimeongelea suala la watu wasiojulikana, swali langu sijauliza kuhusu lissu,, ingawa mmetokeo huko kwa lissu,,naomba unijibu kuhusu watu wasiojulikana, kama nilivyouliza
Sent using Jamii Forums mobile app
hayo mashairi matamu matamu uliyo weka msemaji nani? Mbona kunijibu bibie!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fata uzi niliokuwekea link utapata majibu huko.
Sikushangai...Unazidi kunishushia maandiko! Kuna ugumu gani kuniambia, Hayo maandiko ni KAULI YA...Mimi mgen naona ni Maandiko yaliyi andikwa kwenye vipande vya karatasi tu! HAYO MAANDIKO NI KAULI YA NANI??
Sent using Jamii Forums mobile app
Qur'an 10:Huna jibu??? Hayo maandiko Anasema tumeweka vifuniko juu ya nyoyo zao wasije wakaifahamu! Na uziwi...Ni Kauli ya Nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia hapa: https://www.hepmag.com/basics/hepatitis-b-basics/natural-remedies-hepatitis-bhow can we care hepatitis b with herbs