UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
Wamesaidia kujenga awareness kwa wananchi kuhusu masuala yanayoendelea kwenye nchi
Ila machawa wa kijani a.k.a mafisi wa kijani hayataki kuusikia ukweli huu😂.Ila Bongolala wote watakuja kuzinduka usingizini wakati mafisadi Papa wamesha meza vyote,na watakapo tafuta hata walivyokuwa wanajifariji navyo hata hawata vioa tena🤸🤸🤸🤸Wamesaidia kujenga awareness kwa wananchi kuhusu masuala yanayoendelea kwenye nchi