Faida za kutunza bikra

Faida za kutunza bikra

Zipo na za kushonwa jamani ka operation kadogo tuu mtu unarudi kuwa bk wadada msiogope saana kama shida yao ni bikira tutazitafuta kuwaridhisha nyoyo
 
Nilihusiwa na mzee wangu nisioe isipokuwa ambae ni bikra. Namshkuru mungu nimeoa hivyo na aliyoyasema mtoa mada yote inawezekana ni kweli tupu. Wanawake ndio wanayajua ukweli wake though. In fact tunatakiwa tuoe bikra hususan kwa ajili ya point namba tatu ya mtoa mada
 
Sikubaliani na mleta mada kwani kutunza bikra kunafanya papuchi iote kutu na kuziba kabisa kama haigawiwi kuonjwa.
 
Jinsi ya kuitoa bikra....unakuwa mkariiiiimu huku unaendelea na yako taratiiibu......kweli maisha vipindi...kutoka kupiga blash mpaka breck mbupu.
 
Wanawake wengi siku hizi hawajali tupu zao, unakuta mwanamke anagawa tu yaani utadhan sio yake vile kwanini imsisubiri muolewe muwape waume zenu. Sijui ni nyege au tama ya pesa lakini kusema kwel hii ni too much. Unakuta mwanamke kashalalwa na wanaume kama 7 hadi 10 kabla ya ndoa.

NB:huo ni wastani,so kuna waozidisha hapo) hao wanaume 7 alolalwa nao sio kma kila mmoja kaonja mara moja, kwa kifupi huwezi jua idadi kila mmoja kala mara ngapi, alaf siku unaolewa unategemea ndoa ya amani Like seriously? Mtoto tangia form 1 yeye anachezeshwa mechi tuu,hadi anafika chuo. Akija kuolewa ata ile ladha ya tendo haisikii tena maana ishapanuka sna tayar na imekomaa,either ways umuhimu wa kutunza bikra ni kama ifuatavyo

1.Ni fahari kwa mmeo mmeo atakua proud na wewe sana endapo atakukuta bikra.

2.Utakua umetunza heshima ya familia yako,kwani itaonekana wamefaulu katika suala la kukutunza.

3.Ndoa yako itakua na amani kwani hutokuja kuhisi kuwa mmeo hapigi mechi inavyostahili.. endapo utakua ushaonja miwa ya wanaume wengi ndipo utakuja kuona mmeo ana kasoro,ila kama yeye ndio atakua wa mwanzo kukupa dudu yake basi utajua kama wanaume wote wapo vile so hutochepuka.

4. Utamtia hamasa kubwa mmeo asichepuke,maana akikuta tayar umeshachezewa na vijana wa mtaani kwenu hatoona tabu nae kuonja wa mtaani kwake.

5.Utakua ni mwenywe furaha daima maana hutokua na stress za ajabu utaishi maisha ya amani sina.

6.Utakuwa umefaulu mtihani wa Mungu kwani Mungu kakemea kuzini.

7.Kila mwanamme atatamani uwe mke wake wanawake wengi siku hizi wanabakia hawaolewi cause ya mambo hya hya.

8.For several reasons, ndio yake ina chansi kubwa ya ku last longer,yaani ndoa ya milele watu wanalalamika talaka nyingi siku hizi, je mnazijua sababu zinachongia.Tafakari.

9.Saikolojia inakubali kuwa utalolifanya leo litabebwa na vizazi vyako,ukiwa ni mchapa kazi basi kuna probability kubwa kuwa wanao nao watakua wachapa kazi na ukiwa kigawa uroda usije kuwalaumu wanao baadae.

10.yote tisa, kumi ni kwamba wewe binafsi utakua na faraja kubwa sana moyoni mwako kuona kipenzi chako cha maisha mmeo utaezaa watoto nae hadi mzeeke ndio anakutoa hyo bikra, niamini dada angu,au atleast Amini Mungu kuwa hakuna best feeling duniani kama hiyo,wachache sana huipata cause wachache huolewa wakiwa wamejitunza.

Ushauri kwa dada zangu: endapo mpenzi wako atakua anakung'ang'aniza mzini kabla ya ndoa huyo hana mpango na wewe niamini mtu mwenye nia ya kuoa hawezi kushindwa kukusubiria,walaghai wengi sina amkeni, you all still have a bright future.natumai mtakua mmenielewa.
Iyo point no 4.. Hapana, mzee mmoja jirani ananyumba ndogo na kaijengea bonge LA jumba kimara...kwa Mke wake was ndoa huwa anarud after 6 month ,akirudi full kumtukana,na tusi lake kubwa huwa anamwambia..WW SI NIMEKUKUTA BIKRA? SHUKURU MUNGU MM NIMEITOA BILA MM SI KINGEOZA IKO, na wamezaa watoto wanne..anamnyanyasa mkewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu niliangalia kwenye YOUTUBE ,huko SOUTH AFRICA kina mama watu wazima wamejitolea kuwalea na kuwaelekeza mabinti thamani ya udichana wao.

Kina mama hao wanaelezea jinsi wanavyowapima hao mabinti na kutoa certificate kwa wale wanaohitimu na wasichana wanahojiwa wanaonesha furaha kubwa.

Kwakweli inapendeza maana hats mabinti wenyewe wanajisikia fahari kubwa mmoja alipohojiwa anasema ukikutana na mwanaume akijua wewe ni bikra akianza kukutongoza utaona anashindwa kukaa wala kusimama.
 
Back
Top Bottom