Faida za kutunza bikra

Faida za kutunza bikra

Seems like unanijua sana kuliko hata nnavyojijua mie mwenywe.. wapi nmesema kama nmeshawatoa bikra wanawake wawili?? Nilitaka kusex na demu flani ivi lakini akaniambia yupo bikra.. basi nkakataa hapo hapo.

Maskinii. umeninukuu vibaya, hii ni hoja umeleta tuijadili, nilichoongea sijamaanisha wewe ndio mlengwa ila nimelenga wale wote wenye mawazo yakutafuta bikira ili hali yeye sio bikira. kifupi hii ni hoja huru na mlengwa ni mwanamke ndio maana tunaijadili tuwezavyo.
 
Maskinii. umeninukuu vibaya, hii ni hoja umeleta tuijadili, nilichoongea sijamaanisha wewe ndio mlengwa ila nimelenga wale wote wenye mawazo yakutafuta bikira ili hali yeye sio bikira. kifupi hii ni hoja huru na mlengwa ni mwanamke ndio maana tunaijadili tuwezavyo.

Ok mekusoma.. comment ya juu kabla yako nli comment 'nataka kuoa bikra' so nkajua maybe ulkua unanjibu mie. #peace
 
Sijawahi kuona umuhimu wa bikira kwanza ukikutana na demu ambae ni bikira kuna uwezekano mkubwa ndani ya miezi michache akaachia kwa mwingine coz' there's no way kwamba kote huko amepita lakini hakuwahi kupenda! Kuna uwezekano alishapenda lakini kwa sababu anayoijua mwenyewe (labda sawa na hizo unazosema) akaamua kutompa kwa ajili ya kuhifadhi bikira yake!

Unfortunately, unakuja kumuoa wewe! Kama kuna mtu alikuwa anamnyima kwa sababu tu alitaka kuhifadhi bikira yake basi hesabu akishakupa tu, hata yule jamaa atakuja kumpa coz' kuoa kumkuta bikira wala sio guarantee ya kuwa mwaminifu hapa ndipo mnapokuja kugongewa kirahisi na huwa hamuamini kv ulikuta demu bikira!
 
Hayo niliyoyaongea ni kutoka na wide field of unofficial research.. na hayo yote yana ukwel .. atleast i believe so.

Siku izi kuna changamoto nyingi, ubikra ni sehemu ndogo sana ya mafanikio ya mahusiano ya kindoa.
 
Ila mkuu kiukweli Mada nzuri sana hii,bikra ni heshima ya mwanamke kwake mwenyewe,kwa mumewe,kwa wazazi na kwa Mungu wake.
 
Back
Top Bottom