Faida za kutunza bikra

Faida za kutunza bikra





 
Last edited by a moderator:
Bikra?....ya nini na akati Yesu ashazaliwa!!
 
Seems like unanijua sana kuliko hata nnavyojijua mie mwenywe.. wapi nmesema kama nmeshawatoa bikra wanawake wawili?? Nilitaka kusex na demu flani ivi lakini akaniambia yupo bikra.. basi nkakataa hapo hapo.

Haaaaa Lol, jana kuna movie nilikua naangalia baada ya kumwambia ni bikra akafurahije akambeba na kumpeleka kitandani akaishugulikie vizuri.. sasa wewe ukaikataa hapo hapo lols
 
Haaaaa Lol, jana kuna movie nilikua naangalia baada ya kumwambia ni bikra akafurahije akambeba na kumpeleka kitandani akaishugulikie vizuri.. sasa wewe ukaikataa hapo hapo lols

Nlihofia nsije kumchezea then at the end of the day tuka break .. it will be a burden to me i will never be able to pay for my entire life.
 
Khaa!! Mbona bikra zenyewe zinarudishiwa tu siku hizi tena haifiki hata nusu laki. Hata hivyo practice makes perfect
 
Ndio tukomae tuoe walizo nazo tu tena zile halisi
 
Khaa!! Mbona bikra zenyewe zinarudishiwa tu siku hizi tena haifiki hata nusu laki. Hata hivyo practice makes perfect
 
Umeleta hoja kwa wrong audience!!
Humu kuna wazazi wa aina nyingi, wengi tu wazazi kwa maana ya kutupa watoto chooni, wajane, masingle mamas...!
 
Eti ni kweli kuna madhara bikra ikichelewa kutolewa??
 
Mnachekesha kweli hizo bikra wasichana wanazitoa wenyewe.?Kama mnataka mabikra inaanzia kwa mwanaume. msiwarubuni wasichana msiokuwa na malengo ya kuwaoa.
 
Back
Top Bottom