Hahahah we jamaa sijui umeamka leo tangu ulale miaka ya 80. Yaani wastani umeweka 7 hadi 10 tu! Hivi hawa wadada unawajua au unawasikia? Kwa taarifa yako wenzio wastani siku hizi wanachezea 15-20. Wanaume sasa ndio wala usiseme, maana wastani umepanda hadi totozi 40-50 kabla ya ndoa.
Kimsingi uzinzi umetamalaki sana na mbaya zaidi haufanyiki kwa kurudia rudia na mtu yule yule bali na watu tofauti tofauti. Halafu mbaya zaidi siku hizi kuna kamsemo we ibane tu ikaliwe na nyenyere kaburini!! yaani ni shida.
Hili tatizo litaisha pale ambapo watu wataona uzinzi ni dhambi kama ilivyokuwa hapo nyuma. Na pia kale ka utaratibu ka kuhakikisha mzigo haujapigwa siku ya ndoa japo hili ni gumu maana mchina kashafanya yake. We mwenyewe fikiria siku hizi watu wanapanga kuzaa nje ya ndoa sio kuzini, unaona shida ilivyokuwa kubwa!?
Kimsingi uzinzi umetamalaki sana na mbaya zaidi haufanyiki kwa kurudia rudia na mtu yule yule bali na watu tofauti tofauti. Halafu mbaya zaidi siku hizi kuna kamsemo we ibane tu ikaliwe na nyenyere kaburini!! yaani ni shida.
Hili tatizo litaisha pale ambapo watu wataona uzinzi ni dhambi kama ilivyokuwa hapo nyuma. Na pia kale ka utaratibu ka kuhakikisha mzigo haujapigwa siku ya ndoa japo hili ni gumu maana mchina kashafanya yake. We mwenyewe fikiria siku hizi watu wanapanga kuzaa nje ya ndoa sio kuzini, unaona shida ilivyokuwa kubwa!?