MNA,mengine yapi nyie ...Ndio maana nikakuuliza unafikiri penzi sio chochote? Penzi ni kubwa sana ndio maana mwanaume yuko radhi kutoa pesa ili alipate na akilikosa basi hubaka. Kwahiyo usilichukulie penzi kirahisi rahisi.
Ukishapewa penzi haitakiwi hata utake mengine, hayo mengine ukipewa basi ni bonus na inatakiwa ushukuru mnooooo.
Tutajie faida chache zenye ushawishiKweli kizazi cha leo ni hovyo sana,,mm siungi mkono hoja,yawezekana mtoa mada ni mtoto aliyepatikana nyumba za wageni,,kama sivyo je baba yako hakuoa?na kama alioa kwa nini wewe usioe?nashauri usipotoshe wenzio maana kuoa kuna faida nyingi kuliko hasara,
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta...
Ndio maana nikakuuliza unafikiri penzi sio chochote? Penzi ni kubwa sana ndio maana mwanaume yuko radhi kutoa pesa ili alipate na akilikosa basi hubaka. Kwahiyo usilichukulie penzi kirahisi rahisi.
Ukishapewa penzi haitakiwi hata utake mengine, hayo mengine ukipewa basi ni bonus na inatakiwa ushukuru mnooooo.