tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,323
Ukiwa rijali ndoa unaitaka ya nn? Maana papuchi za kila aina zinapatikana mtaani. Ya nn ulete majanga ndani ya nyumba?
Hujitambui.
Ukiwa rijali ndoa unaitaka ya nn? Maana papuchi za kila aina zinapatikana mtaani. Ya nn ulete majanga ndani ya nyumba?
Ubinafsi litanda kubwa hilo ukishalala peke yako litasaidia nini ?1.utaepuka kuumizwa
2.utaepuka kuletewa ukimwi
3.nyodo utazisikia tu kwa jirani.hutofanyiwa dharau na demu
4.hutotoa pesa za saloon na shopping
5.utalala alone li kitanda likubwaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unadhani mkeo atakuosha ukiizeeka unajidanganya mchana kweupe. Mke anaweza kufa kabla yako. Ama anaweza kusepa hata kabla hamjazeekaYou will die lonely ongeza hio kwa list yako, mkishazeeka stroke zikiwapiga mavi mtaoshwa na nani mazafantaz nyie! (Msonyo)
Ubinafsi litanda kubwa hilo ukishalala peke yako litasaidia nini ?
You will die lonely ongeza hio kwa list yako, mkishazeeka stroke zikiwapiga mavi mtaoshwa na nani mazafantaz nyie! (Msonyo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana. Bora umemwambia mkuu. Sote hatujui kesho yetu itakuwaje na ni dhambi kumtumainia mwanadamu. Wapo waliokuwa wameoa wake 6 lkn wakafa peke yao.Maradhi hayachagui mkuu what if wife ndo akawa anamatatizo hivyo ukalazimika kumuuguza for a long time and then at the end of the day ukabaki peke yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kufikiri ukipata tatizo utakuwa salama eti kwakuwa mkeo atakusaidia, wanakimbiaga hao brother,, unatakiwa uamini kuwa hata ukifa leo huyo mkeo hatachukua muda ataolewa tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unaoa ili ukija kupata majanga mke akusaidie? Ni wangapi wamekimbiwa na wake zao baada ya kushuka kiuchumi tu, achilia mbali kuugua ama kupata ulemavu?
Ndugu yangu, imeandikwa "amelaaniwa MTU yule amtegemeae mwanadamu". Mke anakupenda ukiwa bado hujapata changamoto ya kiuchumi na kiafya. Kqma unabisha jifanye kama unajikuna.
Wewe ndugu tabia ya mwanadamu ni kama hali ya hewa. Usitambe kwamba kwa tabia ya mkeo ni nzuri leo basi itaendelea kuwa nzuri kesho na utakapo pata majanga. Hiyo inabaki kuwa siri ya Mungu.Kijana unadhan unavyoishi we na mwanamke basi tabu unazozipata we basi wote upata ivo apana ngoja ujakua bado ukikua utaelewa bado mtoto mdogo sana ujakomaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwahiyo nawe ni mchoyo?
Ila kuna ukweli aisee maana hata alivyoorodhesha ni uchoyo uliotukuka.
Do you think sex is nothing?90% of ladies have nothing to offer unless sex and 90% of ladies find no reason of being in a relationship unless money is involved
Hayo mengine huwa ni dua la kuku tu, kama kwako kunaungua pambana tu na hali yako.Wewe ndugu tabia ya mwanadamu ni kama hali ya hewa. Usitambe kwamba kwa tabia ya mkeo ni nzuri leo basi itaendelea kuwa nzuri kesho na utakapo pata majanga. Hiyo inabaki kuwa siri ya Mungu.
UMEELEWA NILICHO ANDIKA? UFAFANUZI, WANAWAKE HAWANA KITU KINGINE CHOCHOTE CHA KUKITOA KATIKA MAHUSIANO KAMA SIO KUTOA PENZI NA VILE VILE MWANAMKE HAONI FAIDA ZA KUWA KATIKA USUHIANO NA MTU MWANAUME KAMA MTU HUYO HATAKUA NA FEDHADo you think sex is nothing?
Wewe ndugu tabia ya mwanadamu ni kama hali ya hewa. Usitambe kwamba kwa tabia ya mkeo ni nzuri leo basi itaendelea kuwa nzuri kesho na utakapo pata majanga. Hiyo inabaki kuwa siri ya Mungu.
Ndio maana nikakuuliza unafikiri penzi sio chochote? Penzi ni kubwa sana ndio maana mwanaume yuko radhi kutoa pesa ili alipate na akilikosa basi hubaka. Kwahiyo usilichukulie penzi kirahisi rahisi.UMEELEWA NILICHO ANDIKA? UFAFANUZI, WANAWAKE HAWANA KITU KINGINE CHOCHOTE CHA KUKITOA KATIKA MAHUSIANO KAMA SIO KUTOA PENZI NA VILE VILE MWANAMKE HAONI FAIDA ZA KUWA KATIKA USUHIANO NA MTU MWANAUME KAMA MTU HUYO HATAKUA NA FEDHA
KWAHIYO WANAWAKE NI CHOMBO CHA STAREHE TUNdio maana nikakuuliza unafikiri penzi sio chochote? Penzi ni kubwa sana ndio maana mwanaume yuko radhi kutoa pesa ili alipate na akilikosa basi hubaka. Kwahiyo usilichukulie penzi kirahisi rahisi.
Ukishapewa penzi haitakiwi hata utake mengine, hayo mengine ukipewa basi ni bonus na inatakiwa ushukuru mnooooo.
Do you think sex is nothing?