Faida za kulala uchi

Faida za kulala uchi

Basi mie Ni bingwa wa kulala uchi Kama natoka kuzaliwa....
 
Kwa kweli hata mimi huwa napenda kulala uchi kabisaa, hata chupi ni mwiko. Jamani mwili nao unahitaji hewa. Kutwa kucha umeufunika na nguo na chupi hata usiku? Nahisi hata kiafya huruhusiwi kulala na nguo inayokubana. Ni kosa kubwa.
Hata kifuniko cha asali huweki?
 
1. Usingizi mzuri.
Joto la mwili litakuwa regulated more efficiently.Hamna distruption na joto inayosababishwa na nguo hivyo usingizi wa pono.

2. Self-esteem booster.
Watu wengi hawajiamini sababu hawapendi jinsi walivyoumbwa.
Kulala uchi kutakufanya uuamini na uukubali mwili wako.
Itasadia pia kuupenda mwili wako.

3. Utazidi kuwa mchanga.
Kulala uchi kunafanya kuwa na joto la mwili linalostahili ambalo growth hormones na anti-aging hormones zitafanya kazi vyema.

4. Fungal infections
Wanawake wako prone to fungal infections zinazosababishwa na joto na unyevunyevu kwenye sehemu zao za siri.

5. Increases virility.
Joto ndio adui mkubwa wa utengenezaji wa mbegu za kiume.Na ndio sababu testes imeumbwa nje ya mwili.
Kulala uchi kunafanya testes kupata ideal temperature ya utengenezaji na uhifadhi wa sperms.

6. Happier relationship
Kuwa na skin-to-skin contact kunafanya kureleasiwa kwa homoni ya oxytocin hivyo kuwa na uhusiano wenye furaha na more sex.

7. Keeps you active.

8. Saves money.

Hahah nimecheka sana mkuu., mi nadhan kulala uchi ni sawa laki sikila mtu afanye ivy wengine tunalala kwenye maeneo si mazuri sn kutokana na umaskin, mdudu kama tandu akija akikugonga kwenye cheche lazima utaipata pata? au kina dada wakigongwa kwenye ile kitu itakuwa hati zaidi anaweza kukimbia nje waziwazi
 
Nimesikia ukilala uchi unaingiliwa kimwili unampa nafasi shetan ya kukutaman na kufanya mapenzi nawe kuna post niliwah kuisoma humu humu JF
 
Siku ukivamiwa ndo utaona umuhimu wa kulala walau na bukta
Hapana. Ukweli ni kwamba wavamizi wakikukuta uchi HAWAKUGUSI KABISA, unachotakiwa ni kuvumilia aibu tu. Kumbuka wavamizi wengi sio wabakaji
 
Back
Top Bottom