Faida za kulala uchi

Faida za kulala uchi

maumbile yetu wengine yalivo, na nyumba tunazo lala kama stoo, style mbaya za kulala....Mende asije akakosea pakujificha weeeee.....japo kuna raha yake kulala nacked...
 
Kwa mwanamke kulala Uchi wa mnyama, ni Hatari kwa afya yake kwenye Ulimwengu wa Roho. Inasadikika kuwa asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wanao lala Uchi, licha ya kuingiliwa na Majini Mahaba, pia ndio Muda pekee Spiritual Husbands hupata nafasi ya kuwasawili Maumbile yao na wakigundua kuwa wanavutiwa kimaumbile, basi hawa spiritual Husbands huamua kufanya Makazi ya kudumu kwenye Mwili wako wewe dada.

Mara baada ya Huyu spiritual Husband kuhamia na kufanya Makazi kwenye Mwili wako, hutoka na kwenda kuwasimulia wenzake. Kinachofutia. Hukaribishana na kuanza kukuzalisha Spiritual Kids

Ndio maaana Baadhi ya wanawake usiku huota wakiwanyonyesha watoto usiku, huku kiuhalisia akiwa Hana
Bora umeanza na 'INASADIKIKA' na asiyesadiki?
Ndoto ni sehemu ya maisha ya binadamu na utengemea mazingira.
Mtu wa sehemu za baridi na wa sehemu za joto ndoto zao ni tofauti.
Kila jambo lina maelezo, inategemea na itakavyoelezwa.
Hii ni dhana tu, hazina prove
 
Siku ukivamiwa ndo utaona umuhimu wa kulala walau na bukta
Hatari! Una kuta jitu lina mwili na kitambi kikubwa kama Le Mutuz ikitokea nyumba imewaka
Then likikurupuka usiku uchi.. si hatari hiyo jamani?
 
Mimi nalalaaga uchi uchi lakini sharti niweke bukta pembeni mwa kitanda.
 
basi mimi nipo kwenye nafasi nzuri sana aiseee,... nalala uchi yani kabisa sitaki kabisa hata chupi
Na Wakukufanya Ulale Uchi Hivyo, Unaye!! Uko Pekee Chumbani Na Kitandani!! Mhhhh!! Hata Night Dress!!!?? Tehe! Tehe! Tehe!! Akitimba Kk Jambazi, Sipati Picha!!
 
Naona umezungumzia faida tuu, ngoja tuangalie na hasara zake.
HASARA:
*Ikitokea janga la moto majirani wote wataona uchi wako
*Na ukivamiwa na majambazi hata kama walikuja kwa nia ya kuiba tuu alafu wakakuona uko uchi lazma wabadili gia angani na kukupanda
 
Back
Top Bottom