Faida za kulala uchi

Faida za kulala uchi

Naona umezungumzia faida tuu, ngoja tuangalie na hasara zake.
HASARA:
*Ikitokea janga la moto majirani wote wataona uchi wako
*Na ukivamiwa na majambazi hata kama walikuja kwa nia ya kuiba tuu alafu wakakuona uko uchi lazma wabadili gia angani na kukupanda

mkuu mtaani kwetu, kuna nyumba iliwaka usiku, baba mwenye nyumba alitoka na koti afu chini malighafi zote wazi, aliporudiwa na akili alisema yeye alikurupuka akiwa na msuli, so hajui koti kalitoa wapi?
 
Kwa kweli hata mimi huwa napenda kulala uchi kabisaa, hata chupi ni mwiko. Jamani mwili nao unahitaji hewa. Kutwa kucha umeufunika na nguo na chupi hata usiku? Nahisi hata kiafya huruhusiwi kulala na nguo inayokubana. Ni kosa kubwa.

Unan-dindisha ujue! afu nipo klass nakula pindi!
 
Usipende kulala uchi, hebu fikiria, umekufa usiku huo, watu watakapokuja kukuamsha wakidhani labda bado umelala, ingawa hutakuwa na ufahamu wowote wakati huo ila ni muhimu kulala angalau na chupi tu au nguo za kulalia
 
sipatii picha nyuchi za ke zilivyo kama nini sijui afu analala ovyoo kama ni mkeo hukawii kumchokaa
 
Kwa mwanamke kulala Uchi wa mnyama, ni Hatari kwa afya yake kwenye Ulimwengu wa Roho. Inasadikika kuwa asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wanao lala Uchi, licha ya kuingiliwa na Majini Mahaba, pia ndio Muda pekee Spiritual Husbands hupata nafasi ya kuwasawili Maumbile yao na wakigundua kuwa wanavutiwa kimaumbile, basi hawa spiritual Husbands huamua kufanya Makazi ya kudumu kwenye Mwili wako wewe dada unayependelea kulala Uchi wa mnyama kwa kisingizio cha Joto or something else.

Mara baada ya Huyu spiritual Husband kuhamia na kufanya Makazi kwenye Mwili wako, hutoka na kwenda kuwasimulia wenzake. Kinachofutia. Hukaribishana na kuanza kukuzalisha Spiritual Kids(Yaani ww unafanyikia kama kiwanda cha kuwazalia wao Watoto)

Ndio maaana Baadhi ya wanawake usiku huota wakiwanyonyesha watoto usiku, huku kiuhalisia akiwa Hana hata Mtoto.

Yako Mengi ya kuyaelezea hapa. Ila ngoja Mshaja JR naye aje atoe somo kuhusiana na hiki nlichokieongea hapa.
Mi sijawahi kuona wala kuota lolote kati ya hayo uliyosema hivyo nashindwa kujua umeyapata wapi (speaking from experence)
 
basi mimi nipo kwenye nafasi nzuri sana aiseee,... nalala uchi yani kabisa sitaki kabisa hata chupi

Hata mimi, sipati picha ungekuwa mke wangu halafu tunaishi maeneo ya baridi ingekuwaje.
 
Popo bawa akiingia apo mtaani uje na mrejesho pia hapa
 
utuletee na hasara kama vile mwizi akiibuka ghafla
 
Back
Top Bottom