Faida ya kusoma

jack 1

Member
Oct 28, 2012
61
63
kwa upande wangu sioni faida ya kusoma, nimetafuta kazi nimechoka sasa nimeamua kuanguka chini na kumlilia mungu inawezekana kuna dhambi kubwa sana nimetenda ambazo zinazuia mafanikio yangu, haiwezekani nimemaliza chuo 2010. nimetafuta kazi mpaka nimechoka hakuna,nimejaribu kufungua ofisi hata mwaka sijamaliza nimeshindwa, maisha yamekua magum hakuna furaha ni kilio tu sasa kweli nimeamua kuomba toba kwa mungu tu. maana inawezekana kanipa kisogo kabisa na masikio kaweka pamba.
 
Hakuna linaloshindikana kwa Mungu chini ya jua, fungua biashara nyingine UKIZINGATIA mambo muhimu kabla ya kufungua biashara. Sio lazima uajiriwe; kwa sasa pigania kujiajiri. KUMUOMBA MUNGU USIACHE.
 
Ss km unaongea maneno mbofu mbofu juu ya Mungu unategemea nini..eti masikio kaweka pamba...usimkebehi Mungu ht siku moja yy ndio anayejua hatma yako...anajua kulala na kuamka kwako...ningewza kukushauri usali sana but unaonekana huna imanI ya kutosha maana unaomba huku unajiwekea negativity...unaomba huku ukijua Mungu hakusikilizi..it wont work...
 
kwa upande wangu sioni faida ya kusoma, nimetafuta kazi nimechoka sasa nimeamua kuanguka chini na kumlilia mungu inawezekana kuna dhambi kubwa sana nimetenda ambazo zinazuia mafanikio yangu, haiwezekani nimemaliza chuo 2010. nimetafuta kazi mpaka nimechoka hakuna,nimejaribu kufungua ofisi hata mwaka sijamaliza nimeshindwa, maisha yamekua magum hakuna furaha ni kilio tu sasa kweli nimeamua kuomba toba kwa mungu tu. maana inawezekana kanipa kisogo kabisa na masikio kaweka pamba.
aisee pole sana kwa mapito!Mungu ni mwema naaamini atakusaidia,ila usikate tamaa na uamini kazi itakuja kwa wakati ufaao,ata mm nilisha experience maisha ya ujobless kweli yanakatisha tamaaa
 
kipindi kigumu cha mpito.
usikate tamaa.
jipange, endelea kupambana kadri mungu atakavyokuwezesha.
ila utapofanikiwa usiwe mlevi wa kupindukia ili kulipiza kipindi ulichokipitia.
 
Pole dada Jack. Siku hizi ajira zimekua mavi mavi tu. Endelea kumwomba Mungu atakusaidia.
 
kwa upande wangu sioni faida ya kusoma, nimetafuta kazi nimechoka sasa nimeamua kuanguka chini na kumlilia mungu inawezekana kuna dhambi kubwa sana nimetenda ambazo zinazuia mafanikio yangu, haiwezekani nimemaliza chuo 2010. nimetafuta kazi mpaka nimechoka hakuna,nimejaribu kufungua ofisi hata mwaka sijamaliza nimeshindwa, maisha yamekua magum hakuna furaha ni kilio tu sasa kweli nimeamua kuomba toba kwa mungu tu. maana inawezekana kanipa kisogo kabisa na masikio kaweka pamba.
elimu bora uliyoipata kwenye maisha yako ni elimu ya kujua kusoma na kuandika, unaweza kufanya chochote ama kuwa chochote unachotaka kwa kujua kusoma na kundika. fungua macho na ondoa fikra za kutaka tu kuajiriwa na utaanza kuona fursa nyingi zilizo mbee yako.
 
diploma ya journalism

kama umesoma journalism kwa nini usiumize kichwa ukaandika makala nzuri kisha ukapeleka kwenye magazeti mbalimbali na kama zikikubalika ukaanza kulipwa kwa makala zako? angalia matatizo ya watu, andika makala za kuwasaidia na kila utapopeleka zitakubalika, mwisho wa siku unaanza kuvuta cash ukiwa umekaa kwenye computer yako na kutumia internet kujifunza zaidi. kama utataka ushauri zaidi nipm
 
elimu bora uliyoipata kwenye maisha yako ni elimu ya kujua kusoma na kuandika, unaweza kufanya chochote ama kuwa chochote unachotaka kwa kujua kusoma na kundika. fungua macho na ondoa fikra za kutaka tu kuajiriwa na utaanza kuona fursa nyingi zilizo mbee yako.

Ndugu unafikiri watu hawapendi kujiajiri?
 
yaani mpaka unaanza kumkebehi Muumba kisa hujapata kazi tokea umalize chuo mwaka 2010! Je wenzio waliokosa bahati ya kusoma, je wale waliopata ulemavu waakili ambao hata wangepata nafasi ya kusoma wasingeweza, je wale wanaoumwa kitatanda miaka nenda miaka rudi watamwambiaje Mwenyezi Mungu? Kuwa na subira mkuu riziki yako ipo inakuja kama sio leo basi kesho. Changamoto unazopata zichukulie kama njia ya kutokea. Umesema ulifungua ofisi kabla ya mwaka ukaishindwa je umewahi kujiuliza tatizo ni nini?
 
yaani mpaka unaanza kumkebehi Muumba kisa hujapata kazi tokea umalize chuo mwaka 2010! Je wenzio waliokosa bahati ya kusoma, je wale waliopata ulemavu waakili ambao hata wangepata nafasi ya kusoma wasingeweza, je wale wanaoumwa kitatanda miaka nenda miaka rudi watamwambiaje Mwenyezi Mungu? Kuwa na subira mkuu riziki yako ipo inakuja kama sio leo basi kesho. Changamoto unazopata zichukulie kama njia ya kutokea. Umesema ulifungua ofisi kabla ya mwaka ukaishindwa je umewahi kujiuliza tatizo ni nini?

Kwanza kuna moja ya thread zake uko nyuma alisema alishawahi kufanya kazi BANANA INVESTMENT sasa iweje aseme hajawahi kupata kazi tangu amalize chuo 2010...Mungu anakupima na uaminifu wake kwako ohooo
 
Haja mkebehi Mungu apa. She just wondering why her things hazisongi mbele na wakati elimu anayo. Ni ngumu sana kuelewa kama hujawahi kupitia hali hii....kama umepata maisha kirahisi utaona poa tu. So dont complicate it au kuchukua baadhi ya lines kwenye thread na kuipotosha. U should read it careful and understand the whole thang. Sio kuandika mavimavi tu
 
Haja mkebehi Mungu apa. She just wondering why her things hazisongi mbele na wakati elimu anayo. Ni ngumu sana kuelewa kama hujawahi kupitia hali hii....kama umepata maisha kirahisi utaona poa tu. So dont complicate it au kuchukua baadhi ya lines kwenye thread na kuipotosha. U should read it careful and understand the whole thang. Sio kuandika mavimavi tu

watu baada watupe kazi wanaandika Mavi mavi tu, ha ha ha ha ha.... unanipa raha sana na hii statement
 
Back
Top Bottom