Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,363
- 17,722
Watoto ni malaika itakua wameshajua faida za bamia wanajitibu😀Same kwa Anko wangu....Watoto wadogo na mlenda sijui huu ushirkiano wametoa wap
Unablend na maziwa??Bamia pia ni dawa nzuri kwa wenye vidonda vya tumbo au gesi kujaa tumboni, katakata, chemsha kidogo lisiive kunywa chap au blend na maziwa kunywa (kama roho ndogo huwezi hii), wengine huzila mbichi kama snack
Kuna ukwel katika hiliWatoto ni malaika itakua wameshajua faida za bamia wanajitibu😀
Asante mkuu! ila ungeweka na madhara yake ingependeza.Faida za kula bamia:
- Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
- Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
- Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
- Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
- Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
- Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
- Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
- Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
- Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
- Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
- Husaidia kuboresha afya ya ngozi
- Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)
Yes yes, maziwa fresh glass moja unablend na bamia hata 5 hivi asubuhi kabla hujala chochote, siku za mwanzoni utasumbua sana huo mchanganyiko kushuka kooni ila ukizoea na ukaweka huo uratatibu kwa miezi miwili unapata nafuu kubwa au kupona kabisa.Unablend na maziwa??
Usisahau.... kwenye uzi huu au utafungua mpya?ntaweletea faida za karafuu
Shukran mkuu nitajaribu Roho ngumu ninayoYes yes, maziwa fresh glass moja unablend na bamia hata 5 hivi asubuhi kabla hujala chochote, siku za mwanzoni utasumbua sana huo mchanganyiko kushuka kooni ila ukizoea na ukaweka huo uratatibu kwa miezi miwili unapata nafuu kubwa au kupona kabisa.
Ongeza;Husaidia na kulegea na kushindwa bila shuruti kwa akina bibie!Faida za kula bamia:
- Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
- Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
- Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
- Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
- Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
- Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
- Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
- Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
- Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
- Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
- Husaidia kuboresha afya ya ngozi
- Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)
Mkuu! Unaandika kama unakimbizwa.mkuu zile Laza na limao.kunywa kama maji zikitoka pika yale maji hata hauna nyege zinakuja automatic na nguvu za nanii weka na karafuu ye.maji acha masaa mawili njoo nipen ushuhuda
Hayawezi yakaharbika?? Kwa hizo siku zoteHapanaa huuhuu mkuu kwa kuanzia weka
karafuu l chukua mkono umejaa weka kwa dumu ..kama una bamia unachanganya Ltr5 ikae sikutatu tunywe hayo maji kama maji yakunywa inasaidia mengi sana
Sijasoma uzi ila kama haiongezi nguvu za kiume basi hiyo haifai kwa mwanaume.Faida za kula bamia:
- Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
- Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
- Husaidia kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya mwilini
- Ina vitamini C nyingi zinazoimarisha kinga ya mwili
- Ina vitamini K muhimu kwa kuganda kwa damu na afya ya mifupa
- Ina antioxidants zinazolinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
- Husaidia afya ya moyo kwa kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo
- Ina asidi ya folic muhimu kwa wajawazito (huzuia matatizo ya uti wa mgongo kwa mtoto)
- Kiwango kidogo cha kalori, hivyo nzuri kwa udhibiti wa uzito
- Ina madini kama potassium, magnesium, na calcium
- Husaidia kuboresha afya ya ngozi
- Ina uwezo wa kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)
Mkuu! Unaandika kama unakimbizwa.
Unaambiwa siku hizi jamaa ndo amechukua tuition ya kujifunza kuandika, ameanza kupata improvements hivyoMkuu! Unaandika kama unakimbizwa.
Ndio kusiniUnatokea kusini??😃
Kama ni wakiume nakuomba usimlishe vidude hivyoNapenda sana bamia nimemrithisha na mwanangu, ukitaka ale ugali pika mlenda atakula hadi unafurahi maana hapendi kula