Faida tutagawana nusu kwa nusu: Mtego ni kuwa hata hasara tutalazimika kugawana nusu kwa nusu!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,040
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
 
mzungu mjanja sana, naomba kuuliza ni mgodi gani ambao bado unachmbwa dhahabu hapa tanzania na barick? pili zile trilioni 300 kama sikosei ndio hatupati tena? tutamiliki 50% of shares je shughuri za uendeshaji tutashirikishwa au kazi yetu itakua kupewa tu financial statements zinazoonyesha tumepata hasara?
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
Ficha ujinga wako basi....

Ni bora title ungeweka swali ukaeleweshwa na wataalam wa fedha.

Hasara inaleta athari kwenye mtaji na faida inaleta tija kwenye malipo ya mwekezaji na kukua kwa mtaji.

Siku nyingine uliza kwa wanaojua sio kukurupuka tu kama nyumbu
 
kumbe hii mambo bado mbichi, tusianze kusherekea wakati bado tupo gizani , tumetanguliza strust kwa each side na trasparence pia ila hawa jamaa hawajawahi kuwa na urafiki na mtu. What their after ni max profit , Tusiwaamini sana, kama ni kweli tunacho gawana ni faida na ambayo hawajawahi ipita , hili jambo waliweke sawa nikibidi lijadaliwe bungeni .. Tusije badaye tuka anza rushiana lawama.
 
Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.

Twiga wanapopandishwa ndege mchana kweupe hao usalama wa taifa hawakuwepo? Vipi dhahabu zinazotoroshwa miaka yote na hao wa makampuni kukwepa kodi hawakuwepo? Au ndo hadi watumwe na kuagizwa
 
Barick hawajahi kupata hasara
Kwa hiyo ripoti ya CAG si ya kweli! Maana imesema wazi kuwa hawajawahi kulipa kodi inayotokana na faida maana hawajawahi kupata faida! Zitafute ripoti za CAG kwenye mtandao ujiridhishe japo nahisi una uvivu wa kusoma na kufuatilia ndio maana unapinga hata kitu kilicho wazi!
Msingi wa madai ya malimbikizo ya kodi uliofanywa na TRA kwa Acacia unatokana na sisi kudai kuwa walipata faida lakini wao wakadai walipata hasara hivyo kutokulipa kodi!
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
Kwa hiyo unaamini kuwa wlikuwa wanapata hasara? Uwepo wa Board ya wazawa itakuwa na faida gani? kwa hiyo kutakuwa na maboresho Mkuu
 
Twiga wanapopandishwa ndege mchana kweupe hao usalama wa taifa hawakuwepo? Vipi dhahabu zinazotoroshwa miaka yote na hao wa makampuni kukwepa kodi hawakuwepo? Au ndo hadi watumwe na kuagizwa
Hiyo hali ilikuwepo huko nyuma na usalama wa taifa feki wale wanawatisha watu bar wasiojua usalama taifa kazi yake nini? Wale usalama wa Taifa wanaogombania Wanawake Bar na kuwatisha kwa kuazima Magari yenye Plat number ya DFP na Rav za TRA pamabafu... Yaani ulikuwa tu upo Karibu na Ridhiwani au Le Mutuz wewe ni Usalama wa taifa...Pamafu
 
mzungu mjanja sana, naomba kuuliza ni mgodi gani ambao bado unachmbwa dhahabu hapa tanzania na barick? pili zile trilioni 300 kama sikosei ndio hatupati tena? tutamiliki 50% of shares je shughuri za uendeshaji tutashirikishwa au kazi yetu itakua kupewa tu financial statements zinazoonyesha tumepata hasara?
Mkuu ni bora umeuliza maswali kuliko kutoa hitimisho.

Tambua Magufuli amekuwepo Serikalini kama Waziri kwa miaka 20 kwahiyo yeye binafsi anaijua hii michezo. Pia sasa hivi ana mfumo unampatia taarifa ya kila kitu kwani Usalama wa Taifa ana wataalamu waliobobea katika kila nyanja.

Sasa basi kwa haraka haraka katika mambo yaliyowekwa wazi jana ni kwamba wamekubaliana kuwe na kamati ndogo itayoendelea kujadiliana kuhusu malipo ya kodi husika alizotakiwa kulipa ACCACIA na hakulipa kipindi cha nyuma, Tutamiliki asilimia 16 (16%) ya share kama sheria mpya ya mwaka 2017 inavyotaka, Tutakuwa na mgao wa faida wa asilimia 50 (50%), tambua kuwa hasara huwa haigawanyi bali huwa inaenda kuathiri mtaji wa mwekezaji. Shughuli za uendeshaji Serikali itashirikishwa kuanzia kwenye Bodi ya Migodi yote mitatu inayomilikiwa na Barrick/ACCACIA ambayo ni Buzwagi, Kakola na North Mara a.k.a Nyamongo.

Mgodi wa dhahabu usiomilikiwa na Barrick ni GGM Geita na ameagiza majadiliano yafanyike.
 
Back
Top Bottom