Faida tutagawana nusu kwa nusu: Mtego ni kuwa hata hasara tutalazimika kugawana nusu kwa nusu!

Niulize kwanza tunagawana faida ya barrick au ya accacia? Una hisa 16% halafu faida unagawiwa 50% mbona ka biashara ya pwagu?
 
kumbe hii mambo bado mbichi, tusianze kusherekea wakati bado tupo gizani , tumetanguliza strust kwa each side na trasparence pia ila hawa jamaa hawajawahi kuwa na urafiki na mtu. What their after ni max profit , Tusiwaamini sana, kama ni kweli tunacho gawana ni faida na ambayo hawajawahi ipita , hili jambo waliweke sawa nikibidi lijadaliwe bungeni .. Tusije badaye tuka anza rushiana lawama.
Dividents kwa wana hisa walikuwa wanazitoaje kama hawakupata faida?
 
Dah kwa kweli, wawaambie tu kwa kuwa kila mwaka wamekuwa waki report losses basi itakapopatikana faida tutagawana 50/50 ila kwa sasa waendelee na utaratibu wa kulipa royalties tu.

Watanzania ni lazima tuelewa vizuri na tuwe na watu ambao kweli wanajua taaluma zao, kampuni hiyo ilikuwa inaripoti loss hapa Tanzania , lakini kwa wenye hisa wenzao huko nje walikuwa wakipewa faida kutokana na biashara ya madini, ya hapa Tanzania. Hivyo si kweli kuwa walikuwa wanapata hasara katika shughuli hiyo vinginevyo wangeshaacha muda mrefu sana kuchimba dhahabu.
 
Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Kwa hiyo magu ni Mungu? Acha kufuru, kila MTU ana uhuru wa kutoa maoni hata kama hayapendezi kwenye masikio na akili za wengine!
 
Mkuu ujinga ni mzigo sana na Magufuli ana kazi sana katika hili...

Nikuuilize swali moja kama wewe sio mjinga na mpumbavu utalijibu..

Hivi ukiwa na biashara yako umewekeza mtaji wa shilingi 100,000. Mwaka mzima umefanya biashara, mwisho wa mwaka ukaja piga hesabu ukakuta umepata faida ya shilingi 20,000 baada ya kuondoa matumizi yote. Ina maana utakuwa na 100,000 + 20,000 = 120,000 wakati wa kuanza mwaka mpya wa fedha. Hii 20,000 unaweza kuiondoa ukafanyia mambo yako mengine (dividend) au ukaiongezea kukuza mtaji (Capitalization of profit)

Chukulia kinyume chake. Ukiwa na biashara yako umewekeza mtaji wa shilingi 100,000. Mwaka mzima umefanya biashara, mwisho wa mwaka ukaja piga hesabu ukakuta umepata hasara ya shilingi 20,000 baada ya kuondoa matumizi yote. Ina maana utakuwa na 100,000 - 20,000 = 80,000 kwa maana ya kwamba umetumia kingi zaidi ya kile ulichozalisha na ziada ya matumizi yako imetokana na pesa ya mtaji. Wakati wa kuanza mwaka mpya wa fedha utakuwa na shilingi 80,000 ya mtaji kwa maana ya kwamba matumizi yako yamekuwa makubwa hadi umetumia pesa za mtaji.

Hivi huwa unaelewa nini unaposikia watu wakisema amekula mtaji, amefilisika!!!

Mkiitwa Vilaza mnakasirika pumbavuu kabisa.
Naendelea kukuona mpumbavu kwa sababu unashindwa kutambua kuna tofauti kubwa kati ya operations za sole propreator (ulichokieleza hapo kwenye mashudu yako) na corporation (case ya ACACIA). Nakushauri jifunze basics za accounts na ujue tofauti ya operations kati ya hizo aina mbili za forms za biashara then njoo hapa tujadiliane.
 
Naendelea kukuona mpumbavu kwa sababu unashindwa kutambua kuna tofauti kubwa kati ya operations za sole propreator (ulichokieleza hapo kwenye mashudu yako) na corporation (case ya ACACIA). Nakushauri jifunze basics za accounts na ujue tofauti ya operations kati ya hizo aina mbili za forms za biashara then njoo hapa tujadiliane.
Mpumbavu mwenyewe kama hauelewi endelea kubaki nyumbu na ujinga wako napoteza muda wako kumpigia mbuzi gitaa.

Na kwa taarifa yako usiyempenda atabaki Ikulu mpaka 2025 ndo utakapojua hiyo faida inapatikanaje
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
Jeremiah muriro afike hapa, this is what we call a home of GTs
 
Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Mani alikudanganya kuwa wao hawavuti au hawawezi kuwa corrupted!!
 
Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
usalama wa taifa watakuwepo mpaka kwenye board.... Leme reserve my comment..... Hivi hii sindimba tuliyochezeshwa hamjaisoma tuu?
 
Aisee umeongea ukweli mtupu.
Kwanza lazima watu wafikili kwa kina kwann barrick wakubali kugawana faida au hasara nusu kwa nusu.
Watu lazima wajue kibiashara faida hupatikana baada ya kutoa matumizi na mahitaji yote ya uendeshaji ndipo upate faida.
Sio lahisi kwa mtu kuwekeza kwa 86% halafu akubali kirahisi tu kuwa faida tugawane 50 kwa 50.
Hivyo bac nakwambia baada ya kutoa mambo yote hakika faida itabadilika kuwa hasara hivyo hata ile asilimia 16 ambayo ni haki yetu itamegwa kufidia hasara.
Kama kuna watu wanabisha subilini muda utasema
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
hasara kwani tunanunua madini na kuuza sisi sio madalali pumbavuuu
 
Mkuu ni bora umeuliza maswali kuliko kutoa hitimisho.

Tambua Magufuli amekuwepo Serikalini kama Waziri kwa miaka 20 kwahiyo yeye binafsi anaijua hii michezo. Pia sasa hivi ana mfumo unampatia taarifa ya kila kitu kwani Usalama wa Taifa ana wataalamu waliobobea katika kila nyanja.

Sasa basi kwa haraka haraka katika mambo yaliyowekwa wazi jana ni kwamba wamekubaliana kuwe na kamati ndogo itayoendelea kujadiliana kuhusu malipo ya kodi husika alizotakiwa kulipa ACCACIA na hakulipa kipindi cha nyuma, Tutamiliki asilimia 16 (16%) ya share kama sheria mpya ya mwaka 2017 inavyotaka, Tutakuwa na mgao wa faida wa asilimia 50 (50%), tambua kuwa hasara huwa haigawanyi bali huwa inaenda kuathiri mtaji wa mwekezaji. Shughuli za uendeshaji Serikali itashirikishwa kuanzia kwenye Bodi ya Migodi yote mitatu inayomilikiwa na Barrick/ACCACIA ambayo ni Buzwagi, Kakola na North Mara a.k.a Nyamongo.

Mgodi wa dhahabu usiomilikiwa na Barrick ni GGM Geita na ameagiza majadiliano yafanyike.
Umesema vema kwa hiyo kama hasara inaenda kuathiri mtaji mojakwamoja hata zileshare zetu 16% ,itaathirika.
Na huo ndio ukweli wenyewe
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!

Read below

]Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari

Oct 20 (Reuters) - Gold miner Acacia Mining Plc does not have the ability to make a $300 million payment to the Tanzanian government to resolve a tax dispute, Chief Financial Officer Andrew Wray said on a call with analysts
 
Bill said:
Mpumbavu mwenyewe kama hauelewi endelea kubaki nyumbu na ujinga wako napoteza muda wako kumpigia mbuzi gitaa.

Na kwa taarifa yako usiyempenda atabaki Ikulu mpaka 2025 ndo utakapojua hiyo faida inapatikanaje
Kasome utoe tope ndani ya hilo fuvu, umeishiwa hoja sasa unaanza vijembe, mimi siasa zenu uchwara hazinihusu hapa nawaelimisha tu mazwazwa kama wewe ili tusaidie kuwafuta ujinga na mavi kwenye hayo mabichwa yenu mkulu hata akiongoza karne nzima mimi hainisumbui wala kuniathiri at all:D:D
 
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!

Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!

Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!

Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!

Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!

Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
waongo huwa ni wasahaulifu.

juzi kati ripoti ya CAG, pamoja na zile kamati feki walisema hawajawahi lipa income tax(30% ya profit). kwa miaka 17, ndo maana TRA wanadai Tril400,

sasa Leo wanasema wamepewa 50/50 sharing ya profit. wakati miaka 17 hawajawahi declare profit,

nini kitawafanya sasa wapate faida ghafla ili tupate mgao wa
50%
 
Back
Top Bottom