hawajawah kupata hasara barrick sema faida ilikuwa inaliwa na wachach hqkuna aliyeweza kusema zaid ya kuwatetea lkn sasa kuanzia management tutakuwepo tutaona kila kitu nampongeza rais wetu jwa kweli hakuna mfano africa.
JF raha sana,ahahaha
Nimeyapenda haya majibizano ya kihoja.
Kiufasaha zaidi kihasibu huwa inaandikwa hivi USD (600). Sitashangaa magamba yakachekelea yakiona hiyo figure kwenye mabano yakadhani ni "fungu" lao.Siku faida ikiandikwa hivi $-600 Milion nazo tutagawana tu.
Duh! Naona dalili za kuingizwa mkenge wa kutisha.Mkuu haya mavitu kama hujui ni bora uwe msomaji tu, mwaka 2015 hawa jamaa walitangaza hasara ya US$ 197.1 Milion.....kwa MoU iliyofikiwa jana, GoT ingechagia kwenye hasara hiyo kwa 50%.
Usalama wa Taifa wapi?wale wanaotongoza mabinti kwa kutumia ID za TISS au wale waliojaribu kumuua LISU mchana kweupe wakamkosa au wale ambao walimtolea NAPE bastola mbele ya waandishi wa habari au unaongelea watu gani maana nyie vijana wa Lumumba mtakuwa mmebanwa na Haja ya mabadilikoAcha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
Umeambiwa hadi kwenye bodi watakuwepo wabongo na watalaam wengi wakibongo kwahiyo kila kinachoendelea kutokea day 1 tutajua.mzungu mjanja sana, naomba kuuliza ni mgodi gani ambao bado unachmbwa dhahabu hapa tanzania na barick? pili zile trilioni 300 kama sikosei ndio hatupati tena? tutamiliki 50% of shares je shughuri za uendeshaji tutashirikishwa au kazi yetu itakua kupewa tu financial statements zinazoonyesha tumepata hasara?
Thibitisha hasara.Thibitisha
Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Asante mkuu, leo nimenyaka maandishi ya kiuhasibu. Siku nikiona USD (600) najua jiti hilo.Kiufasaha zaidi kihasibu huwa inaandikwa hivi USD (600). Sitashangaa magamba yakachekelea yakiona hiyo figure kwenye mabano yakadhani ni "fungu" lao.
nani kasema mmelipwa...Hhahah..jamaa wamewatoa tu kimtindo..hawajalipa kitu.Kwani wana deni gani?Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!
Ni kweli, kama vile tu kwa Bashite-ukimpinga unampinga Mungu. Nchi ya mazwazwa!Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Nianze kwa kutoa pongezi ya dhati maana kulipwa asilimia 0.156 ya tulichokuwa tunadai si haba! Lakini LA maana zaidi ni yale maboresho mbele ya safari!
Lakini kuna mtego mbaya kwenye haya makubaliano! Sijui kama hilo limewekwa sawa. Unaposema mtagawana faida nusu kwa nusu maana yake ni kuwa hata hasara mtagawana nusu kwa nusu! Vinginevyo iwekwe wazi kuwa faida tutagawana sawa ila hasara itabebwa na mwekezaji, kitu ambacho mwekezaji si rahisi kukikubali maana hakiendani na logic!
Ikumbukwe kuwa wameahidi kugawana faida ambayo mpaka sasa kwa mujibu wa CAG hawajawahi kuipata ndio maana hawajawahi kulipa kodi itokanayo na faida! Ila miaka yote "vitabu" vyao huonyesha wamepata "hasara" kubwa tu! Kwa hiyo kama haya makubaliano yakawa "back-dated" tangu walipoanza kuchimba dhahabu, hakuna hata senti moja ya faida ambayo tutagawana, ila kuna mamilioni ya dola ya hasara ya kugawana pia!
Labda waanze kuzalisha faida kuanzia Leo, vinginevyo tutegemee kugawana hasara badala ya faida!
Kitakachotokea tusipoliweka hili sawa ni kuwa tutajikuta tumepelekana mahakamani tutakapogoma kugawana hasara wakati tulikubali kugawana faida! Mahakama itatafsiri kwa logic tu kuwa kama faida tunafaidi nusu kwa nusu maana yake ni kuwa na hasara tufaidi nusu kwa nusu! Hapo ndipo ile sh. bilioni 700 itakapotutokea puani maana hasara "itatengenezwa" kubwa kuliko hiyo!
Angalizo: Iwepo sentensi kabisa inayosema " tutagawana faida tu lakini hasara ni mzigo wa mwekezaji". Huo mtego tukiutegua mapema nina uhakika watakataa na majadiliano yataanza upya!
Kwani siku zote walitangaza hasara usalama wa taifa wakiwa wamelala?Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Wakati tunaibiwa miaka 19 mfululuzo taifa halikuwa na usalama wake? Kwa nini mnapenda kutoa majibu mepesi kwa hoja nzito?Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Sema mungu na sio Mungu. Acha kumshirikisha Mungu na hii serikali ambayo inapata madaraka kupitia ushirikina, kisha sehemu kama hizi ndo Mungu aingilie kati.Acha uzuzu, usalama wa taifa watakuwemo kwenye uhasibu mpaka board. Yaani kwa ufupi Mungu alishaamua kuikomboa Tz, ukimpinga Dkt Magufuli unampinga Mungu.
Siku hizi haturushiani lawama, ni mwendo wa lisasi tu Mkuukumbe hii mambo bado mbichi, tusianze kusherekea wakati bado tupo gizani , tumetanguliza strust kwa each side na trasparence pia ila hawa jamaa hawajawahi kuwa na urafiki na mtu. What their after ni max profit , Tusiwaamini sana, kama ni kweli tunacho gawana ni faida na ambayo hawajawahi ipita , hili jambo waliweke sawa nikibidi lijadaliwe bungeni .. Tusije badaye tuka anza rushiana lawama.
Na hiyo idara jinsi inavyoajiri vilaza siku hizi ndo tusitegemee mapya kabisa.Twiga wanapopandishwa ndege mchana kweupe hao usalama wa taifa hawakuwepo? Vipi dhahabu zinazotoroshwa miaka yote na hao wa makampuni kukwepa kodi hawakuwepo? Au ndo hadi watumwe na kuagizwa