Faida na hasara ya vitanda vya chuma

...
 
Mkuu sitakushauri chochote mpaka utupie kapicha ka wewe na huyo shemej mkiwa mmekaa hata pembeni ya hicho kitanda
 
Faida nyingine ya kitanda cha chuma, ni kwamba kinaepusha matumizi ya mbao ambayo kimsingi ni miti ambapo hupelekea utunzaji wa mazingira na kuepukana na janga la jangwa. Ni muda mrefu sasa vitanda vyangu mimi ni vya chuma na ninavifurahia kwa kweli.
 
Hahahahahah
kuweka "lock" ya vidole
 
Nimekuwa muumini wa vitanda vya mbao sana. Vya chuma nilikuwa sivipendi kabisa. Siku moja nililala lodge moja huko Arusha nikakutana na kitanda cha Chuma nikaipenda sana. Nukapiga picha.
Baada ya hapo nikaja kutengeneza kitanda kama hicho. Ajabu siku hizi nikiamka napata matatizo ya mgongo sana na nikiamka nakuwa na uchovu wa hali ya juu sana.
Jana nikaenda kwa fundi wa kitanda cha mbao ili nichonge kingine kwakuwa kile cha awali sasa wanalalia wengine. Bila kutoa hoja yangu fundi akaniuliza unatumia kitanda gani nikamwambia cha chuma. Akaniambia kitanda cha chuma siyo kizuri kwakuwa kinasababisha uamke asubuhi ukiwa umechoka sana na hii tumewahi kuambiwa inatokana na madini yake. Akaniambia yeye pale alipo aliisha badilishia wateja wake kutoka kitanda cha chuma kwenda mbao zaidi ya wateja 10.
Sasa huenda nami ndio kinachonitesa.
 
Sijuu hasara wala faida, ila sijawahi kuipenda chuma na hasa hayo ma square pipe furnitures. Mbao ni nambari uno.
Kitanda Cha chuma kizuri sio hayo ma square pipe ya madirisha wanayotumia.
Kitanda kizuri ni chuma round nenda maduka ya ujenzi kanunue mwenyewe na chuma za pembeni ni pana Kama vile vitanda vya zamani vya Jeshi,vinafungwa kwa nati.
Nilibahatika aisee sijawahi kulaumu
 
Weka ubao ila nao uwekwe miguu.

Una kilo ngapi? Mkeo jee?
Godoro lako nchi ngapi?
Huyu atakuwa anatumia zile godoro feki ambazo baada ya mwezi zinabonyea kati na kutengeneza shapa ya mtumbwi. Sasa akilala yeye na wife, wote wanakutana kati, hivyo uzito unaelemea sehem moja.
 
Kubonyea katikati nafikiri inasababishwa na magodoro feki
 
Vitanda vya chuma ukiwa shabiki wa rough kama mimi lazima uvichukie. Vinataka uende missionary tu. Sivitaki kabisa
😷 😷 😷 😷 😷 🀣 🀣 🀣 🀣 weka square pipe nene kidogo, Achana na hizo za inchi moja
 
Mbao haijawahi pungua thaman...sijawahi vutiwa na kitanda cha chuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…