Fahamu ukweli kuhusu kurefusha uume

Fahamu ukweli kuhusu kurefusha uume

Mkuu.. usiangaishwe na maumbile yako madogo relax.. hizi dawa huwa zinafanya kazi 100% ila madhara yake ni mengi na makubwa na hayana suruhu.. utakuza uume utakuwa mkubwa kama unavyohitaji ila utakuwa hausimami sawa sawa kama mwanaume kweli yaani utakuwa unasimama lege lege na hata kuingia utakuwa hauingii vizuri.. ila kama hiyo hali inakutesa tafuta tu dawa utumie.. maisha yenyewe mafupi haya just enjoy mkuu hatushikiani maisha
Kuna dawa zozote unazozifahamu tushirikishane?
 
Dawa zipo, mie nakumbuka kuna jamaa aliniuzia hiyo dawa mwanzo nilihisi tapeli lakini nikajisemea acha nimpe riziki.

Asee ile dawa kiboko mpaka nikaitupa mana nikaanza kuogopa nilichokuwa nakiona.

Afu kila mwanamke nikikutana nae,akiondoka tu anatuma text kibao khaaa wewe hiyo nanii hatariiii
Vipi una hali gani baada ya hii miaka 3.!?

Hizo dawa zinalegeza mbo' na kuua nguvu za kiume vibaya mno, kuna mdau anajuta kuzitumia.
 
downloadfile-9.jpg
 
Back
Top Bottom