Fahamu ukweli kuhusu kurefusha uume

Fahamu ukweli kuhusu kurefusha uume

Mkuu unaongea tu kuna watu wana bamia kwelii akisema mbadilishane uta kimbia mwenyewe. We aache wenye shida zao wazi tatue kama unasaada wapeee. Nimesha shuhudia sana wanawake waki sengenyaa kuhusu hizo ishuu na kuna mmoja ali mponda sana jamaa yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Dooh

kelphin kepph
 
Uwe na kibamoa hakuna mwanamke anayeridhika na ukubwa ama udogo wa uume kama uume wako ukisimama unalingana na kidole chako kirefu basi ww huna kibamia, ila uume wako ukiwa sawa na kidole cha mwisho basi kuna uwalakini. But kama vyote hiridhiki navyo nenda hospitali yyt kubwa waambie unataka kuoneza urefu na unene watakufanyia upasuaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema ukweli kabisa....watu wengi wanaocoment kwamba sijui kidole kinatosha nini..hawa wanakua wako aidha kawaida au wamejaaliwa maumbile makubwa so kwao sio shida..mimi nadhani maisha yako hayana usawa..au labda watu wengine hawatakiwi by nature kujihusisha na vitu kama hvi!??!?!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida wao wakiona wame kamilika basi wanahisi kila mtu yuko na maumbile kama yake.

Unakuta mtu anakuambia dushe ndogo inatosha, ila jua kuwa mzee kuna mademu nimesha uliza kama 8 hivi wote wana kuambia ukiacha issue ya kukojoa dushe kubwa ina raha yake.

Sasa wengine wanajipa moyo tu.

Yanii ikitoke tukimchukua manzi tunae share amini wewe mwenye kibamia lazima upigwe ban

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwe na kibamoa hakuna mwanamke anayeridhika na ukubwa ama udogo wa uume kama uume wako ukisimama unalingana na kidole chako kirefu basi ww huna kibamia, ila uume wako ukiwa sawa na kidole cha mwisho basi kuna uwalakini. But kama vyote hiridhiki navyo nenda hospitali yyt kubwa waambie unataka kuoneza urefu na unene watakufanyia upasuaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi hakuna upasuajiiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwe na kibamoa hakuna mwanamke anayeridhika na ukubwa ama udogo wa uume kama uume wako ukisimama unalingana na kidole chako kirefu basi ww huna kibamia, ila uume wako ukiwa sawa na kidole cha mwisho basi kuna uwalakini. But kama vyote hiridhiki navyo nenda hospitali yyt kubwa waambie unataka kuoneza urefu na unene watakufanyia upasuaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai unamaanisha urefu wa kiganja, Lakin kma unazungumzia urefu wakidole niunatosha inabid uwatake radhi dada zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida wao wakiona wame kamilika basi wanahisi kila mtu yuko na maumbile kama yake.

Unakuta mtu anakuambia dushe ndogo inatosha, ila jua kuwa mzee kuna mademu nimesha uliza kama 8 hivi wote wana kuambia ukiacha issue ya kukojoa dushe kubwa ina raha yake.

Sasa wengine wanajipa moyo tu.

Yanii ikitoke tukimchukua manzi tunae share amini wewe mwenye kibamia lazima upigwe ban

Sent using Jamii Forums mobile app
At the ndo maisha yalivo..kuna watu wanakila kitu wengine hawana kila kitu..nadhani kukubaliana na ukweli huo ndo suluhisho..wengine wanaishi..wengine wanasindikiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaongea tu kuna watu wana bamia kwelii akisema mbadilishane uta kimbia mwenyewe. We aache wenye shida zao wazi tatue kama unasaada wapeee. Nimesha shuhudia sana wanawake waki sengenyaa kuhusu hizo ishuu na kuna mmoja ali mponda sana jamaa yake

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kib
Kidole kidogo cha mkono kinaweza kumkojoza mwanamke na akatosheka.Unataka Tango la nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
yap watu sijui wanatafuta nini?
 
Kwan mtu akisema "kibamia" anamanisha kuanzia size ngapi...tafsiri walizonazo baadhi inaweza ikawa ni kujitesa kwenyew
 
Au test ingine mbo ikisimama kabisa lala chali then ilaze kuelekea kitovu. Ikigusa kitovu upo kwenye size ambazo wanawake wanazipenda, ikizidi kitovu basi wewe ni oversiz. Wanaokufaa ni malaya tu ila mwanamke alojitunza unamuumiza. Maana hata ikiingia ndani lazima ichome hadi maeneo ya kitovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ni kweli kuna dawa za kuongeza uume
Na ni yapi madhara yake

Kwa aliyetumia atupe mrejesho
 
Back
Top Bottom