kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,387
- 17,095
DoohMkuu unaongea tu kuna watu wana bamia kwelii akisema mbadilishane uta kimbia mwenyewe. We aache wenye shida zao wazi tatue kama unasaada wapeee. Nimesha shuhudia sana wanawake waki sengenyaa kuhusu hizo ishuu na kuna mmoja ali mponda sana jamaa yake
Sent using Jamii Forums mobile app
kelphin kepph