uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,703
- 37,937
Kuna njia za kiutaalamu ? ,niliwahi kutumia kamba na kuning'iniza kilo moja lakini haikusaidia.
Au haina haja niyakubali maumbile.
Are you over weight? Kama sio over weight achana na mahangaiko, tafuta mwanamke wa kukufaa, achana na Malaya wenye mapango, ila kama ni over weight, fanyia kazi mwili wako!