Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
2.hatua ya pili futa kumbukumbu zote kuhusu yeye ikiwemo namba za simu picha Meseji n.k ili kuepuka mazingira ya kumfatilia.
2.hatua ya tatu epuka kusimulia watu wako wa karibu kama umeachwa we jifanye Mkoo poa tuu hii ibakie kuwa Siri yako kwa muda kidogo.
3.Hatua ya nne kama una uhakika mpka mnachana hakuna kosa ulilomfanyia epuka kuomba second chance mrudiane.
4.Hatua ya tano acha kujilaumu kwa kosa lolote ulilomfanyia mkasabisha m break up wee fanya yameshapita hayo endelea na maisha yako. Kama akiona una umuhimu akutafute.
5.Hatua ya Sita acha kumtafuta tafuta sijui muonane mzungumze noo wee kuwa bize na mambo yako kama akiona una umuhimu akutafute mwenyewe.
HAYA ENDELEA KUONGEZEA POINTS ZINGINE